Inawezekana hakuna chama cha maana cha upinzani kutokana na mazingira yaliyopo, ila sio upinzani boss. Tunajitambua vizuri kupita maelezo. Na uzuri sasa hivi tunaweza kufanya siasa na wananchi bila hata kutegemea vyama vya siasa, iwe upinzani, au hao wezi wa kura ccm. Wananchi walishaamka, Magufuli ndio anashurutisha wananchi warudi kwenye siasa za kina Nyerere, za karne iliyopita.
Nadhani kama unafuatilia vizuri, wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi tulisema hatuko tayari kushiriki uchaguzi katika mazingira yaliyopo, hasa kwa ule uhuni wa kitoto, ushenzi na ukatili wa wazi kwenye chaguzi za marudio. Baadhi ya viongozi wa upinzani kama Mbowe, Halima Mdee, Zito, na wanaccm wengi, walihimiza kujiandikisha lakini hatukutokea. Na hata sasa, wananchi wengi hawajajitokeza kujiandikisha, ama kuhakiki kwani watu wamechoka kufanywa wapuuzi. Tegemea wapiga kura wachache sana safari hii, bila tume huru vya uchaguzi, tena wengi wao ni wanaccm wenye uelewa mdogo, na wale wanaccm washabiki maandazi. Lakini hamna mwanaume kabisa anayesimamisha vizuri, atashiriki huo uhanithi bila tume huru ya uchaguzi.