Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Membe ni nani hasa wakutoa sharti? Hapo ndipo upinzania unapohidharaulisha. Lowassa alikuja na sharti la kuwa mgombea urais akapewa nafasi akachomoka na nguvu ya Chadema ambayo ilianza kuonekana dhahiri
Huyu naye anakuja na sharti jingine kwamba ni wapinzani waungane kwanza labda tujiulize hao wapinzania anaowataka waungane ni kina nani hasa?
ACT WAZALENDO, CHADEMA, TLP, TADEA, CHAUMA, NCCR MAGEUZI au upinzania gani hasa?
ACT WAZALENDO wanaweza kuwa tayari kuunganisha nguvu na CHADEMA lakini so kinyume chake. Tayari Katibu Mkuu Be. John Mnyika alishasema wao wanakikaribisha chama chochote kushirikiana nao na sio wao kushirikiana na chama chochote.
Wasalaam
Hata wangetaka kuungana, hilo kwa sasa haliwezekani maana muda wa kisheria umeshapita.