macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ni kweli. Kwa wanasiasa tegemea chochote. Hasa hawa wa kiafrika. Ni wanafiki sana sana. Magufuli mwenyewe ni katili na muuaji wa kutupwa lakini kwenye hotuba kila dakika haishi kumtaja Mungu.Ulijua kama Lijuakali yule aliyefungwa miezi 6 kuna siku kama ya leo atakuwa ccm?
Tukiwaonya muwe mnatega vizuri masikio yenu
HUYU JAMAA ANAFAA KUWA RAIS WA TZMwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Mnatuzuga hivi tunawaamini halafu siku ya siku mnatuacha kwenye mataa kwa kauli moja ya mashoga wazee kuwa mnarudi nyumbani as if mlikuwa porini.Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Hili la kupenda kunyenyekewa na kuabudiwa kama Mungu mimi huwa linanifanya nijisikie vibaya sana na kuona aibu kila nikiona watu wazima na familia zao wanashindana kumtaja na kumsifia.Boss wako dikteta ..Ni moja ya characteristics zao kupenda kunyenyekewa na kulambwalambwa.
Hili la kupenda kunyenyekewa na kuabudiwa kama Mungu mimi huwa linanifanya nijisikie vibaya sana na kuona aibu kila nikiona watu wazima na familia zao wanashindana kumtaja na kumsifia. Hivi inakuwaje binadamu tu unapenda kusifiwa na kuabudiwa namna hii jamani? Mimi ninapomsaidia mtu halafu akaanza kunishukuru na kunisifia kupita kiasi huwa najisikia vibaya sana.
Haikuhusu, wewe hangaika na Chama Cha MajunguNa kaa mkao wa kula, mbowe anabadili tena gia angani na kuwaletea JASUSI MBOBEZI ndani ya chama...
Hakuna Mkuu ila Tunaomba Demokrasi itamalaki kwenu kwamba iruhusu wanachama wengine wachukue form za kugombea urais hakuna mambo ya desturi ya chama kwamba lazima mtu agonge 10.
Hahaha... Siku ile wameitwa Dodoma, Kinana hakutokea mkashangilia kweli!
Kumbe msijue mnachoshamgilia.
Ccm itatawala sana tu
Mruhusuni MEMBE achukue form ndio utajua MAGU anakuwa rais au lah.
Kinana watamdai vatambulisha uraia.
Unafikiri ile ccm ni ya wajinga kama kina Seif wa Cuf Lipumba alipo andika barua ya kujiuzulu wakakaa kimya?
Ccm inaendeshwa kisomi
We binti bana suala hapa ni barua acha kurukaruka mpeni barua maana Katibu wako akiulizwa swali hili anaruka Kama amefumaniwa[emoji3]
Au uraiaNgoja wamtafutie kesi ya uhujumu uchumi au kodi isiyolipoka
Usijipaishe mkuu, huko hawajui kitu,
CC:CrimeaMwanaume pekee aliye baki Tanzania