Wewe ni mwanakwaya wa kusifia uozoBasi hapo chadema mtashangilia kweli kweli!
Na muweke akiba ya maneno maana wakigeuka mnaanza tena kulia.
Membe ni mwanasiasa huyo hana tofauti na Kinana au Msigwa.
Ila tuaminu aina ya nani?Hata Msigwa alikuwa na mbwembwe kama hizi za Membe, nadhani unajua kilichotokea.
. Huwa tunawaonya kila siku msiwaamini wanasiasa aina ya Membe.
Ulipoandika tu et nikajua upo form three BHafu et mtu kama huyu awe rais,
Membe anaweza kupaa siku 2 angani kama ulifuatilia vizuri shaolin soccer utaelewa.Hamna jasusi mzee, huyo mzee ni mstaafu kama wastaafu wengine. Mbwembwe zake za ujasusi ni wakati alipokuwa kwenye system. Hapo alipo hata akitokezewa na vibaka wa simu atategemea kung'ata tu.
Ndugu yangu wee. Tatizo siyo kuelewa ujumbe bali ni kutaka umakini uwepo kwa chochote tunachokifanya. Haya makosa unayoona ni madogo huwa yana athari sana. Na mbaya zaidi hili tatizo limeota mizizi Tanzania mpaka kwenye sehemu muhimu sana. Nakumbuka cheti cha mwanangu cha kuzaliwa kilikosewa jina, wakaandika Malia badala ya Maria. Ilinigharimu muda na fedha kubadilisha kwani nilikuwa nakihitaji kwa haraka! Hebu jaribu kusoma mchango wa member mmoja anaelezea alivyokutana na dhahama kwa sababu ya makosa ya kijinga kama haya. Akichangia kwenye thread mwandende anasemaSawa mkuu lakini ujumbe umeuelewa
Thread iko hapa:Balozi zetu ni KANSA....ya muda MREFU sana...nilishapoteza passport GREECE...nikatuma maombi ubalozi wa Tanzania Italy..wakasema nitume na pesa za stamp....hawana pesa za kuituma passport yangu...nilituma barua na euro 50 kipindi hicho...euro 30 gharama za passport na 20 euro gharama za kutuma passport,, huwezi amini passport imekuja lakini imeandikwa date of birth 5/6/2011 ,,date of issue 11/6/2011 ..mkuu sikuishtukia hyo hadi nipo PERAUS AIRPORT...naulizwa date of bith ni hii? kuangalia duu,,,wakaniuliza una mri wa six days? nikabaki sina majibu,,uzuri walituma na risiti ya ubalozi Italy...sababu nilikuwa narudi nyumbani basi wakaniacha nirudi ,,nilikuja kupata usumbufu mwingine hapa JNA...yapo matukio mengi ya kusikitisha ya balozi zetu...hawana msaada na raia....kuna siku mtanzania Fulani alizuiwa kuingia airport sababu ya yellow card...ktk complained jamaa akaomba aitiwe ubalozi wa Tanzania aje amsaidie,,yule balozi alipokuja akasikiliza Yale malalamiko ya wale watu weupe..,halafu akamuuliza yule mtanzania,, umefata nn huku? Tulieni nyumbani...wewe rudi tu...halafu akaishia zake,,pale pale wale jamaa walistaajabu sana,,,mwishowe wakamuacha jamaa aingie pale kwao kwa huruma yao.....ndy maana watu wakipatwa matatizo yeyote hatutaki wajulishwe mabalozi wetu.. Kwani hawana msaada zaidi ya UKUDA tu...na kuturipoti nyumbani kama wahalifu...
Hilo nalo ni la kutuambia?Ulijua kama Lijuakali yule aliyefungwa miezi 6 kuna siku kama ya leo atakuwa ccm?
Tukiwaonya muwe mnatega vizuri masikio yenu
Usifananishe membe na vitu vya kipumbavuSubiri,
Nafikiri nyie hata muwekewe kujifunza kwa picha hamuwezi kuelewa!
Hivi unamjua Lijuakali wewe? Alikuwa na msimamo kuliko huyo Membe wako.
Ndio ushamba wenyewe huo. Kumbe mnawatafutia Watu kesi?Ngoja wamtafutie kesi ya uhujumu uchumi au kodi isiyolipoka
Usomi wa nyunguUnafikiri ile ccm ni ya wajinga kama kina Seif wa Cuf Lipumba alipo andika barua ya kujiuzulu wakakaa kimya?
Ccm inaendeshwa kisomi
Hata mchungaji Msigwa alimwambiaga hivyo hivyo mzee Kinana kwamba kamwe hatamwomba radhi na kama anamind aende mahakamani.
Kilichofuatia wote tunakijua.
Ccm hua wanajua kucheza na akili za bavichaBavicha bhana, yaani mko bize kushangilia mwana sisiemu aliyevuliwq uwnachama ila born n raised wa sisiemu, hivi mnajua kuwa kuna uchaguzi miezi 4 ijayo?
Membe anaweza kupaa siku 2 angani kama ulifuatilia vizuri shaolin soccer utaelewa.
SoonNgoja wamtafutie kesi ya uhujumu uchumi au kodi isiyolipoka
Unalolisema ni sahihi. Lakini kumbuka watanzania wengi tunaongea na kuandika kiswali kwa kuendana na lugha za asili. Hili ndilo tatizo kubwa ambalo kuliondoa haitawezekana.Ndugu yangu wee. Tatizo siyo kuelewa ujumbe bali ni kutaka umakini uwepo kwa chochote tunachokifanya. Haya makosa unayoona ni madogo huwa yana athari sana. Na mbaya zaidi hili tatizo limeota mizizi Tanzania mpaka kwenye sehemu muhimu sana. Nakumbuka cheti cha mwanangu cha kuzaliwa kilikosewa jina, wakaandika Malia badala ya Maria. Ilinigharimu muda na fedha kubadilisha kwani nilikuwa nakihitaji kwa haraka! Hebu jaribu kusoma mchango wa member mmoja anaelezea alivyokutana na dhahama kwa sababu ya makosa ya kijinga kama haya. Akichangia kwenye thread mwandende anasema
Thread iko hapa:
Kutoka South Africa: Balozi wasaidie Watanzania hawa kurejea nyumbani