hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
๐๐๐Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Mwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
huyu ni chuma. .sio jiwe typeMwamba wa Kusini amenena moja kwa moja kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Kuna maswali?
View attachment 1470338
๐๐Anatapatapa huyo! Si alisema niguse ninuke kaguswa mbona hakunuka
bado hajashikwa vizuri. .akishikwa pabaya atahara mwenyeweNgoja wamtafutie kesi ya uhujumu uchumi au kodi isiyolipoka
๐๐indeedBasi hapo chadema mtashangilia kweli kweli!
Na muweke akiba ya maneno maana wakigeuka mnaanza tena kulia.
Membe ni mwanasiasa huyo hana tofauti na Kinana au Msigwa.
Katimuliwa au kamati imedhamiria kumtimua? Kutimuliwa bado, hadi mkutano mkuu. Japo si rahisi mkutano kwenda tofauti na mapendekezo ya ile kamati.Hakuna kitu pale.
Keshatimuliwa chamani hana madhara yeyote, mshauri aende zake tu act pengine atapata hata ubunge
hii ni siasa brother,akili unazo ila unaacha kuzitumia tuBavicha bhana, yaani mko bize kushangilia mwana sisiemu aliyevuliwq uwnachama ila born n raised wa sisiemu, hivi mnajua kuwa kuna uchaguzi miezi 4 ijayo?
Ndio siasa hizo, na siasa ni sayansi na sisiemu wanacheza kama pele! haya mmepewa topic ya kuongea tena ktk kipindi nyeti hiki..hii ni siasa brother,akili unazo ila unaacha kuzitumia tu
Yaani aombe msamaha/asiombe atajijua mwenyewe huko.Sinema inaendelea
Wanasiasa hawaaminiki rejea Kwa sumaye na Eduard Loassa
Sawa mkuu lakini ujumbe umeuelewaNi Sarungi na siyo Salungi. Halafu ajila waachie watoto wadogo waseme, wakubwa wanasema ajira.
Duh! Ndoto Kubwa sana hii.tunawaandaa kisaikolojia , Jiwe atakatwa mapema sana , mipango yote imekamilika
Watanzania si wajinga. Wakapiganie tumbo la membe.Ipo siku akionewa mtu kama usemavyo, watu watajitoa muhanga lolote na liwe
Uoga wake ni upi?Hakuna mtu mwoga kama Membe
Wewe unamzidi nini membe?Huyu jamaa lofa sana, sasa nani anashida na msamaha wake, apambane na khali yake.
Sent using Jamii Forums mobile app