Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
wewe na USA ni sawa ? America ndio sponsor wa hilo shirika,Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Marekani äna hiyo muscle though, hata hivyo huu uamuzi wa Marekani umekosolewa vikali piaMtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Na sisi ni Dona kantrewewe na USA ni sawa ? America ndio sponsor wa hilo shirika,
Wewe ulitakaje na wewe nenda ukapate hizo 7Mkuu
Naona Uko na speed kureply Kila uzi humu jf Kwa sasa
Natumai wamekulipa buku 7 zako za mwezi huu..
Ngoja waanze kukukopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna “mwana dipolomasia” na “mukemiya” makini tukaze mikanda huku tukitembea kifua mbele matako nyuma
Hata sisi ni nchi ya DONA!USA haitegemei WHO ila inaisaidia, vitu viwili tofauti sana.
mkuu ni mwendo wa kutembea kama bata😂 maana huo ndio tunaambiwa ni uzalendohii kali sana mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣
unajua mnanichanganya,mnawaita wazungu mabeberu alafu unadai membe ni kuwadi,so membe aliwakuwadia mabeberu wakawapanda ?Membe mwizi wa raslimali za umma na kuwadi wa mbaberu leo unafurahia kuibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikujua hilo, ila nimekumbuka kila mwanachama wa WHO anatoa mchango, isipokuwa kama tunatoa mchango ni mdogo sana kulinganisha na wa US, tunasaidiwa zaidi ya kuchangia, mke wangu anafanya kazi WHO hivyo najua misaada tunayopata.
Pumba ,takataka ,kinyesi ,mavi ya nguruwe,,tupa kule ,hamuwezi na hamtaweza,njama za kifala dhidi ya awamu ya tano,patheticMEMBE: KUTENGWA NI ANGUKO LA TANZANIA
"Kukosoa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na kukataa kushirikiana na washirika wa kimataifa na kikanda katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona itagharimu Tanzania kiunajimu, Waziri wa zamani wa Mambo ya nje wa Tanzania", Bernard Membe alisema.
"Tutanyimwa fedha, utalii utashuka, ndege hazitakuja, wawekezaji wataambiwa wasije Tanzania na tunaweza hata kuwekewa vikwazo," Membe aliambia chapisho hili.
Kila mtu, alionya, hafurahii kwa jinsi Tanzania inavyopambana na janga hili ikiwa ni pamoja na WHO, Viongozi wa Afrika Mashariki, Viongozi wa SADC, Jumuiya ya Afrika (AU), benki ya IMF / Dunia, nchi za Ulaya, Merika na Uchina.
"Ni jambo rahisi tu kuelewa kuwa janga la kidunia kama hili inahitaji suluhisho la ulimwengu. Suluhisho za ulimwengu na kikanda zinahitaji mshikamano na mbinu na mikakati ya pamoja. Tunaonekana tukijitenga, tunalaumu na kutuhumu hata marafiki wetu bora duniani. Tunahitaji kufanya kazi pamoja na ulimwengu kupunguza na kutatua janga hili. Ninamsihi Rais na Serikali kufanya hivyo, lazima tubadilike na kwenda sambamba na ulimwengu! " alisema Membe.
Alitoa wito kwa nchi kufuata kikamilifu mahitaji yaliyowekwa na WHO na kufuata ushauri wa wataalam
Kwa hiyo Trump akilitukana shirika la WHO na sisi Tz tutukane twende naye sawa.Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Tulisema pia mipaka yetu itafungwa na nchi jirani.Tulishawaonya hapa kuwa tutakuwa-blacklisted kwa kukiuka kanuni za WHO kwenye hizi hatua za kupambana na covid19 ila mataga wakatushambulia kwa viroja bila hoja, sasa leo yanatukuta yakutukuta.
Mtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Hata mwenyewe sasa hivi wajiona kituko kuutetea utawala huu ni lazima uwe mwendawazimu kama vile weweMtu mweusi kweli hajiamini ! Usa kila siku analitukana shirika la afya kuwa linatumika na China
Magufuli kuwa challenges Ndio iwe kosa?
Huyu Baba sijui Kwanini hampendi Rais wetu
Mkuu jitahidi upunguze hasira na kumjibu Membe kwa hoja kinzaniPumba ,takataka ,kinyesi ,mavi ya nguruwe,,tupa kule ,hamuwezi na hamtaweza,njama za kifala dhidi ya awamu ya tano,pathetic
Sent using Jamii Forums mobile app