Uchaguzi 2020 Bernard Membe tulimjua tangu awali. Hatusumbui, Mabadiliko ni lazima mwaka huu!

No matter what!! Hakuna wa kuharibu mission ya wananchi mwaka huu!! Wananchi kwa sauti moja tumeshasema liwake jua, inyeshe mvua Raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
 

Mkuu Lisu atakimbilia Ubeligiji vipi, maana nijuavyo alikwenda kwa matibabu, labda uniambie kama alikuwa huko kabla ya kushambuliwa kwa risasi. Au mtamshambulia tena?
 
Membe tuliza boli, ngoma imekushinda. Mwache Lissu achanje mbuga. Picha yako iwepo au isiwepo kwenye ballot paper haisumbui. Ila wewe Membe jihesabu kama marehemu wa kisiasa. Kenge wewe.
 
Mkuu Lisu atakimbilia Ubeligiji vipi, maana nijuavyo alikwenda kwa matibabu, labda uniambie kama alikuwa huko kabla ya kushambuliwa kwa risasi. Au mtamshambulia tena?
Mkuu amini usiamini baada ya uchaguzi Lissu alipanga aondoke nchini, Ila ana kesi so watamuwahi kumzuia wameshajua janja yake. Hata ticket aliyofanya booking imeshaonekana. Na naamini wewe Kama Tindo unaujua ukweli kwamba atakayeapishwa Kama Raisi ni nani.
 
Membe tuliza boli, ngoma imekushinda. Mwache Lissu achanje mbuga. Picha yako iwepo au isiwepo kwenye ballot paper haisumbui. Ila wewe Membe jihesabu kama marehemu wa kisiasa. Kenge wewe.
Anajidhalilisha kwa kuwa mtumwa wa Magufuli. Angejiwekea heshima ya kukumbukwa na vizazi vyote vijavyo vya Tanzania endapo angekuwa kwenye team ya ushindi ya mwaka huu ya Tundu Antiphas Lissu!!
 
Sijawahi kumuamini ZZK
 
Upinzani TZ ni hatari kwa afya ya taifa letu. Membe hela zake zilizuiliwa kuingia nchini kipindi kile ameenda Dubai. Toka wakati huo Zitto kamuona Membe sio kitu.

Mbeligiji nae tunaona mabeberu wanavyomsapoti waziwazi
 
Membe tuliza boli, ngoma imekushinda. Mwache Lissu achanje mbuga. Picha yako iwepo au isiwepo kwenye ballot paper haisumbui. Ila wewe Membe jihesabu kama marehemu wa kisiasa. Kenge wewe.
Amejikosesha Heshima ambayo angepewa na vizazi vyote vijavyo vya Tanzania. Akome kutumika na ajue yote watakayofanya na mabwana zake hayawezi badili msimamo wa watanzania kumuweka Tundu Antiphas Lissu ikulu hapo wiki ijayo
 
Wote wawili wanataka nafasi moja, na wote wapo kwenye karatasi ya kupigia kura lakini mmoja anaambiwa amuunge mkono mwenzake, je maana ya yeye kuwepo kwenye karatasi iko wapi?

Aliingia kwa kupandikizwa amegundulika sasa ajipigie mwenyewe kura Kwani kuna ubaya hata asipopata kura hawezi kupoteza Sifa kwamba aligombea
 
Upinzani tz ni hatari kwa afya ya taifa letu. Membe hela zake zilizuiliwa kuingia nchini kipindi kile ameenda Dubai. Toka wakati huo zitto kamuona membe sio kitu. Mbeligiji nae tunaona mabeberu wanavyomsapoti waziwazi
Vipi hapo imekuuma?

Kama imeekuuma chomoa! No way.
 
Membe tuliza boli, ngoma imekushinda. Mwache Lissu achanje mbuga. Picha yako iwepo au isiwepo kwenye ballot paper haisumbui. Ila wewe Membe jihesabu kama marehemu wa kisiasa.
Tumpuuze aendelee kuota.!
 
Mkuu Lisu atakimbilia Ubeligiji vipi, maana nijuavyo alikwenda kwa matibabu, labda uniambie kama alikuwa huko kabla ya kushambuliwa kwa risasi. Au mtamshambulia tena?
Watamshambuliaje tena amiri jeshi mkuu. Lissu baada ya Tarehe 28 tu Lissu sio mwenzake , kila kitu chake kinalindwa na PSU
 
Upinzani tz ni hatari kwa afya ya taifa letu. Membe hela zake zilizuiliwa kuingia nchini kipindi kile ameenda Dubai. Toka wakati huo zitto kamuona membe sio kitu. Mbeligiji nae tunaona mabeberu wanavyomsapoti waziwazi

Hao mabeberu wanamsupport Lisu kuliko ile miradi ya DFP ya mabeberu iliyo hapa nchini? Bado hizo propaganda za kizee huwa mnatuletea karne hii?
 
Hata waje na vifaru na wale makomandoo wanaovunjaga tofali pale taifa, kura tutalinda, hatuogopiii
Sasa tu kama hapa JF umeogopa kutumia jina lako halisi..utaweza kweli kulinda kura wewe?
 
Anaona mbilimbili wanafiki washaachiwa laana toka enzi za Manabii
 

Mmhh Lisu hana uoga huo, kama angekuwa na uoga huo asingerudi hapa nchini. Kama haogopi kifo ndio ataogopa hizo kesi za kubumba? Narudia tena iwapo Lissu angekuwa alikuwa anakaa ulaya, tungesema ni mtu mwenye mapenzi ya huko, na kilichopelekea ulaya ni matibabu baada ya ibilisi kuagiza ashambuliwe.

Hiyo ya kuwa na ticketi ya kurudi ulaya ni propaganda mfu ya nyie mliofilisika kisiasa. Sina tatizo na mshindi yoyote halali kutangazwa na sio kinyume chake.
 
Hivi Chadema mko serious mna kwama wapi kila chaguzi mnaomba wagombea wengine wawaunge mkono saizi mnataka Membe atoe tamko kuwa anamuunga Mkono Lissu asipotamka mnasema tulimjua kabla wakati kuna wakati mlidai Membe anaweza kuitoa CCM madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…