Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Tunafanyaje Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi na Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa?

madai ya tume huru yameanza 2020 kakaribia uchaguzi? kama member wa JF anakuwa hivi namna hii,hoko nje kukoje
Yani ndio mnakumbuka tume huru leo na huyo Membe wenu?
Mlipokuwa busy kuanzisha mijadala ya kijinga kama vile rais hajui kingereza, Bashite, tetemeko la kagera na upuuzi mwingine kama huo tuliwaambia huo muda mngeutumia kudai tume huru.
Ona sasa siku hizi mko busy na kigogo eti anatoa siri za Magufuli! Upumbavu mtupu. Na msipoangalia huyo Membe ndio mgombea wenu mwaka huu!

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Jecha alifuta, matokeo na Maalim alisusia uchaguzi na hakuna lililobadilika.. Shein amepiga miaka yake mitano saafi kabisa.. Ukisusa wenzio wala na hakitafanyika kitu.
Hapo ndio ushauri wa Bagonza kuwa sabasaba hii tuandamane kupeleka ujumbe kuwa tunataka tume huru ya uchaguzi unapoonekana wa maana.
Pengine hayo ni maono
 
Na ufe tu, upinzani gani wa kudai tume huru ukikaribia uchaguzi, kwa nini hawakudai tangu mwanzo? wameshaona mambo yanaenda kombo wanatafuta njia ya kutokushiriki uchanguzi.
Pole haki ya kudai tume huru ni ya msingi, unaposhindana na mgombea ambae pia ni refa, kibendera, kamisaa .........
 

Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

Maswali kajiuliza mwenyewe na kutoa mwenyewe majibu sahihi - kwa wakati ule na SASA! Suala la Waangalizi au Watazamaji wa Kimataifa, WAJE TU, hakuna aliyewazuia. Kama wanaogopa kitu ambacho hakipo, COVID - 19, hiyo ni shauri yao. Na woga huowalionao hao Watazamaji wa Uchaguzi wa Nje, wanapewa na watu kama akina Membe na akina Zitto kwa nia na lengo la kutaka kuonyesha kuwa hali si shwari hivyo Uchaguzi wa 2020 hauwezi kufanyika hapa nchini! Huo ni uongo na uzushi usio na mashiko. Anayetaka kuja kuangalia MWEREKA na MWISHO wa wapinzani aje aone; awasiliane tu na mamlaka husika ili apate vibali na aje ashuhudie MBWAGO wa vipenzi na vibaraka wao. Nawasilisha.
 

Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama
Wanaodai Tume huru ya Uchaguzi wataje mapungufu yaliyomo kwenye Ibara ya 74 ya Katiba ya JMT (1977) na kuyafafanua. Isitoshe wanaodai Tume huru walikuwa wabunge, hivyo basi wangeweza kujenga hoja ya kurekebisha vifungu vya Ibara hiyo vinavyoinyima Tume uhuru wa kutekeleza majukumu yake.
 

Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

And this Guy want to be the leader of the free Country
 
Pamoja na suala la kutokuwa na tume huru ya uchaguzi linachomakama pasi, Membe anatakiwa atulie maana alishiriki 100% kuchakachua bunge la katiba ambalo lingetupatia tume huru ya uchaguzi
 

Membe anahoji:

"Je Tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi bila kuwa na tume huru?

Tume huru ya Uchaguzi ndugu zangu, maana yake ni kwamba uwe na Tume katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ambayo ina watu wa aina zote. Wa dini zote, vyama vyote, aina zote za Elimu, Wanasiasa Maarufu bila kujali chama Tawala, Wanakuwa kwenye hilo kundi.

Ili wanapo amua kuhusu Mwanachama anayeomba Udiwani au Ubunge, apitishwe bila Upendeleo.

Sasa mtu mmoja akaniuliza, "Kwani huko nyuma Mheshimiwa mlipitishwaje?". Nikasema tulipitishwa kwa utaratibu huo huo lakini katika mazingira ya sasa hivi, ambayo Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa au Mkurugenzi, anajisikia hofu kwamba akipita Mtu wa Chama kingine Cheo chake kinaweza kuondoka, anaweza akafanya vitendo vya Upendeleo kulinda Masrahiya cheo chake.

Kwahiyo katika Mazingira ya sasa lazima tuwe na Tume Huru.

Nikawa najiuliza, hili swala la Tume huru tunafanyaje? Twende nalo hivyo hivyo au tuwe na Tume huru? Jibu likawantiwe na tume huru.

Nikawa pia najiuliza kwamba safsri hii tumeambiwa Waangalizi wa Uchaguzi wa dunia( International observers) hawatakuwepo kwa sababu UNDP hajatoa fedha za Uchaguzi, hawatakuwepo sababu wengi wanahofia Corona.

Je, tupo tayari kwenda kwenye Uchaguzi katika mazingira ya kutokuwa na Waangalizi wa Uchaguzi kutoka kote Duniani watakao Sema Uchaguzi huu ulikuwa wa haki, ulikuwa huru na unao heshimika, tupo tayari kufanya hivyo bila kuwa na Waangalizi wale?

Nikawa najiuliza haya Maswali. Wakati fulani nikasema, inawezekana Uchaguzi huu hautafanyika karibuni utafanyika baadae.

Lakini Wanasiasa wengine wakasema hapana, tukazanie moja tu la kuwa na Tume Huru na kuwa na Waangalizi wa Uchaguzi. Mambo Mawili lakini tuendelee kuwa na Uchaguzi.

Sasa ndo maana tukachukua wiki nzima toka wiki iliyopita, kuongea na Wanasiasa ndani ya Chama na nje ya chama watupe Mwanga wa nini kifanyike".

Pia soma:

Elections 2020 - Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

Wala Membe asijaribu kuongelea tume huru. Tume huru ilihitajika muda mrefu. Wakati akiwa serkalini hakuiongelea, maana ilimpa nafuu. Sasa kaondoka CCM inakuwa na umuhimu. Huyo Membe ni muongo na mnafiki wa kutupwa. Alikuwa anaenda nje, akikutana na diaspora anawadanganya atapeleka mswaada bungeni wa uraia pacha. Akifika TZ hahangaiki, mpaka alitoka madarakani bila kuwafanyia diaspora chochote. Sitashangaa akianza kujinadi kuwa alishughulikia na kufanikiwa lakini Maghufuli akakataa!
 
Ukweli ni kuwa siasa ni ajira, kwa hiyo kila mgombea awe upinzani au ccm anafanyia tumbo lake na familia yake.
 
Huyu jamaa anachowaza ni kuwa wabongo hatuwezi inabidi tuwe na wasimamizi wa nje, very poor mindset
 
Utakuwa na matatizo ya kufikiri, kwa Tanzania watu wengi wanataka tume huru lakini tatizo ni wapinzani wanyewe hawana "support" toka kwa wananchi kwa sababu upinzani wenyewe wako kwa ajili ya matumbo yao(wapiga dili) na hawako kwa ajili ya wananchi ndiyo maana wanaombea mabaya kwa nchi na si maendeleo.
Wapinzani hawapo kwa ajili ya matumbo yako Mbona CCM kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwahujumu kwa kila Mbinu na sasa wakurugenziccm wanatembea na matokeo mifukoni ikifika siku ya kutangaza watawatangaza washindi feki wasio chaguo la wapiga kura, Nchi inaelekea kuongozwa na wabunge chaguo la wakurugenziccm siyo chaguo la wananchi.
 
Wewe ndiyo akili yako haina akili, haiwezekani udaganywe na wapinzani kudai tume huru sasa wakati uchaguzi uko karibu. Kwa nini hawakudai tangia mwanzo? Hata huu uchuguzi ukimalizika hawatadai tume huru ila ukikaribia uchaguzi mwingine wataanza makelele ya kudai tume huru.
Mda uliopo ni mwingi unatosha kuunda tume huru ya uchaguzi na kutodai zamani siyo kigezo cha kutodai sasa
 
Kwanza ni aibu kwa wapinzani kushiriki uchaguzi while Hakuna Tume Huru ya uchaguzi kama walivokua wanaidai huko nyuma ....pili inasikitisha sana eti tunataka waangalizi wa kimataifa ...

Mnadhan watawashinda wana Lumumba kwa propaganda!? Shida Tanzania sijaona wapinzani wa kweli wote wapiga dili tu Ccm itatawala miaka 1000.
Wapinzani wa kweli wapo wengi ndiyo maana kutwa CCM huwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani, upinzani ungekuwa haupo kweli usingekuta CCM inaingia gharama kubwa kuwadhoofisha kwa kila hali.
 
Back
Top Bottom