chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Huyu Mali zake ziuzwe, ikishindikana kulipa deni, akawe civil prisoner. Membe anapeleka application for execution mahakamani, pamoja na njia nyingine za execution, anaomba kumfunga, mahakama inasikiliza, inakubali, inawasiliana na magareza, magereza wanatoa rates za kumuhudumia mfungwa kwa siku, membe anatia mzigo kwenye akaunti za magereza, musiba anaingizwa stoo. Kwa mujibu wa CPC, miezi sita, na anaweza kulimwa sita mingine.
Kwa kuwa ana Mali, hawezi kupeleka maombi ya kutangazwa amefilisika under the Bankruptcy Act mpaka Mali zote zikaushwe
Kwa kuwa ana Mali, hawezi kupeleka maombi ya kutangazwa amefilisika under the Bankruptcy Act mpaka Mali zote zikaushwe