Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!
Hapa unamtisha Mzee wa ushindi wa dakika za lala salama yaani dakika 89 ya mchezo kama alivyotueleza!! Nadhani hili si sahihi. Ashauriwe tu kusamehe bila kutishwa.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana

Paskali
Naheshimu mawazo yako juu ya msamaha, lakini msamaha hutolewa pale mkosaji anapojuta na kuona uchungu juu ya makosa yake. Pia alipewa nafasi mara tatu kuomba msamaha akakataa. Anapoona anapoteza mali ndio anakumbuka shuka. Wahenga wanamisemo mingi.

Mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi. Usiposikia la mkuu huvunjika guu ...

Sasa tumuache Musiba avune alichopanda.

Lakini pia acha apitie machungu hayo iwe fundisho kwa vijana wengine. Hata Sabbaya amepitia hayo aliyopitia ili iwe fundisho kwa wengine. Na ninaamini funzo limetolewa.

I support Membe's family stand. Wacha mvua inyeshe tujue panapovuja.

Kumbuka bado Fatma Karume hajakazia hukumu case yake pia.
 
Kesi imetolewa hukumu na mahakama ila bado mnamuandama membe.Membe kumsamehe musiba hakumfanyi awe na uwezo wakufuta au kubadilisha hukumu ya mahakama.Swala la kusamehe lingekua na maana au nafuu kwa musiba endapo lingezungumzwa mapema kabla kesi haijaanza kusikilizwa au kutolewa maamuzi wakati ambapo membe alikua na uwezo wakuondoa kesi.Tofauti na hapo tusiifanye mahakama kama chombo kisichokua na maana.lakini pia hao viongozi wa dini niwababaishaji kama wababaishaji wengine acha kuwatukuza kwasababu kama wameweza kupokea ombi la musiba kutaka aombewe msamaha walitakiwa wajue kua musiba alifanya yale kwa makusudi kwahiyo anayetakiwa atoe shart au namna yakuombwa msamaha ni aliyekosewa,na bahati nzuri membe alitoa hiyo nafasi lakini musiba aliikataa na kuipuuzia sasa iweje waje tena na hiyo agenda ya msamaha.Waambie walinde heshima kidogo waliyonayo kwenye jamii.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Kwa hiyo aidharau amri ya Mahakama.
 
Mhh kwahio kuna watu wakija kukuomba kitu ukagoma kukubali ombi lao kuna kitu kitakukuta
Mbona kama Membe anafosiwa kusamehe
Musiba alipe kwanza ndio aanze kuomba msamaha ndio itajulikana kweli anajutia kosa lake sio kama saizi anavyojaribu kuomba msamaha ili kulinda mali zake.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Yeye Musiba aende kumuomba msamaha Membe na aombe hadharani hizo swaga za maaskofu ni kulea uovu,aliitwa na mahakama akakaidi akajifanya hagusiki.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
mnajitokeza machawa wengi sana kumuombea msamaha kwani yeye muhusika mwenyewe mdomo umezibwa kwann mnajitokeza mamluki kumuombea msamaha kuna shida gani ? kwan wakati anaporomosha maneno makali mlikua wapi kumshauri?

msamaha ni hiari kukubali au kukataa na si kulazimishwa nendeni kwa musiba mwambieni akapige magoti kwa membe mwenyewe au ajitokeze hadharani aombe msamaha aache kiburi
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Salaam P. Hoja yako ina mashiko ipokelewe na ndugu Membe, Musiba alijitoa sana ufahamu, Mwaka 2017, niliandika makala ya uchambuzi kupitia gazeti la Rai yenye kichwa cha habari " Musiba na kundi lake ni wapambe nuksi na wasaka tonge" nusra niingie mafichoni, maana nilipokea simu za vitisho vya kukatisha maisha yangu wakati wowote, hivyo nilipewa onyo Kali, Jamaa alikuwa Juha sana ndani ya tasnia.
 
Mhh kwahio kuna watu wakija kukuomba kitu ukagoma kukubali ombi lao kuna kitu kitakukuta
Mbona kama Membe anafosiwa kusamehe
Musiba alipe kwanza ndio aanze kuomba msamaha ndio itajulikana kweli anajutia kosa lake sio kama saizi anavyojaribu kuomba msamaha ili kulinda mali zake.
yaan ni ujinga kiwango kikubwaa mtu alietukana hadharani kutokuomba msamaha hadharani wanajitokeza machawa kumuombea msamaha kwa vitisho huu si uungwana uungwana wamfuate musiba wamshauri akaombe msamaha
 
Lengo la kutoa adhabu siyo kukomoa bali kutoa fundisho kwa mkosaji na wengine wenye akili na mawazo kama yake.
Sasa kwa hili la Musiba, jamii na taifa kwa ujumla lilitikisika, viongozi wa kisiasa, wa kidini na wananchi wakagawanyika makundi mawili.
Kundi moja likishabikia upuuzi na jingine likipinga upumbavu huo kwa malengo binafsi.
Hadi leo makundi hayo yapo chini chini yakijaribu kushirikiana kinafiki.
Kwa nini hawa viongozi wa dini hawakuona umuhimu wa kuzuia mgawanyiko uliokuwa unajitokeza wakati Musiba na kundi lake wakifanya hayo?
Kinachotakiwa kufanywa na hao viongozi wa dini ni kwanza kueleza uma kuwa vitendo au maneno ya Musiba yaliumiza wengine na taifa kwa ujumla.
Pili visirudiwe Tena na Musiba au mwingine yeyote.
Na mwisho wamshauri Musiba kuomba radhi na msamaha hadharani kama alivyokuwa anatukana na kukashifu hadharani.
Kushawishi msamaha wa gizani kunathibitisha unafiki wa kiwango fulani.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskalisch

Acha vitisho vya kijinga Paskali, askofu ni binadamu tu kama binadamu wengine hawana nguvu hizo unazotaka kutishia nazo watu. Kama unawasujudia ni ww lakini sio kila mtu.

Membe hana sababu yoyote ya kumsemehe huyo mtu aliyeshiriki kuumiza watu kibao ili kumfuruhisha yule kiongozi muovu. Huu mchezo wa kusamehe watu wanaotumika kudhalilisha watu kwa backup ya viongozi walevi wa madaraka, utaendelea kwakuwa mtu anajua ataomba msamaha na atasamehewa kirahisi.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Hakuna Maaskofu hapa ni takataka. The so called Maaskofu walinyamaza tuli bila kukemea maovu ya Magufuli, leo wanaleta kiherehere cha kijinga. Bladfaken bastard wanyamaze kama walivyonyamaza wakati ule.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali

Paskali, Paskali, Paskali, nimekuita mara tatu, wewe ni muumini mzuri wa Karma. So let's karma ifanye kazi yake. Mbona leo unakuwa kigeugeu, kwani wakati Musiba anatukana watu vibaya, kuwadhalilisha, kuwatisha vibaya, maaskofu hawakuwepo? au walikuwa wamekufa au walikuwa hawaoni? Kwanini hawakukemea wakati wote ule? Maaskofu nao wanafiki wakubwa, hypocrite, walikuwa wapi Musiba akiiumiza watu? Leo ndio wanaibuka baada ya hukumu? Nikisema hao maskofu nao walikuwa upande wa Musiba nakosea?

Bernard Membe, usimsamehe kabisa kabisa kabisaaaa kabisaaaaaaaaaaaaaaa Musiba, asilani usitoe msamaha, Mungu anaona machungu uliopitia Membe, sbb ya Musiba.

Narudia, BM, shikilia hapo hapoooo never ever ever step back and think of forgiveness.. Acha kabisa, Musiba itakuwa funzo kwa watu wengine na vizazi vijavyo.. Tena afilisiwe kabisa, if possible afungwe maisha ndani akishindwa kulipa. Hawa waandishi uchwara ambao wanaotumika kuumiza watu sana, sasa ni zamu yake Musiba, aonje maumivu, what you do to others, it will always come back to you.. Malipo ni hapa hapa duniani, ya Mbinguni tutayakuta huko mbele. Acheni mambo yenu.
 
Kusamehe ni hiari ya mtu na usiposame haumkosei Wala haupingani na mtu Sasa unaposema Membe asipingane na hao viongozi wanafiki una maanisha nini
 
Back
Top Bottom