Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee

Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee

Huyu Membe pamoja na kusifiwa au kusifika kuwa ni jasusi mbobezi, lkn alishindwa mission na mzee Lowasa ya kuusambaratisha upinzani nchini kupitia akili kubwa na tamaa ya viongozi wa upinzani. Katika watu waliopewa mission ya kuusambaratisha upinzani toka nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi, basi Lowasa amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno tena katika muda muafaka ambao kuna watu walijidanganya kuwa mwenyekiti wa chama tawala wakati huo na mbobezi wa siasa za vizazi vyote mh JK chama kingemfia mkononi. Sasa matokeo yake wao ndio vyama vyao vimewasambaratikia mikononi yan hakuna cha ukawa wala uchawa. Big up mwenyekiti mstaafu mzee JK&Lowasa na pole kwa viongozi wa upinzani. Tamaa ilimponza mbuzi kwa kuwekewa chumvi akijua unga.

images (20).jpeg


2878995_images_9.jpeg
 
Membe anapopatwa na tatizo hua ni mtulivu sana!

Kikwete akipatwa na tatizo hua ni mtulivu sana! Hua hawaropoki hovyo hovyo, wao hua wanatulia kimya,wanaacha mda utaongea wenyewe!

Ni wakati wa Musiba na Genge lake kuomba samahani kwa Membe na Kikwete! Kipindi kile Musiba anasema wewe Membe kama kaka yako Kikwete alishindwa kukupitisha uwe Rais wa Tanzania,Je sasa hivi unaweza vipi?? Musiba atageuka kua Musiba kweli! Siku hiyo unasema naenda kwenye Musiba wa Musiba
Wote hawa ni watu wa hovyo tu. Hakuna cha Kikwete, Membe wala Musiba. Kinachowatofautisha ni nani yuko kwenye mamlaka na ni nani yuko benchi. Wanachezea watu wasio na akili tu.
 
"Sijawaji kujitoa CCM".
Kwa hiyo rasim, ACT Wazalendo ni tawi la chama tawala? Nauliza huku.
===
Bahati mbaya sana maneno yaliyobebwa kwenye kichwa cha habari cha uzi huu, yamekuja muda mbaya. Poor timing and poor choice of words. Sijui nimeeleweka?
 
Huyu Membe pamoja na kusifiwa au kusifika kuwa ni jasusi mbobezi, lkn alishindwa mission na mzee Lowasa ya kuusambaratisha upinzani nchini kupitia akili kubwa na tamaa ya viongozi wa upinzani. Katika watu waliopewa mission ya kuusambaratisha upinzani toka nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi, basi Lowasa amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno tena katika muda muafaka ambao kuna watu walijidanganya kuwa mwenyekiti wa chama tawala wakati huo na mbobezi wa siasa za vizazi vyote mh JK chama kingemfia mkononi. Sasa matokeo yake wao ndio vyama vyao vimewasambaratikia mikononi yan hakuna cha ukawa wala uchawa.
Akili za ndezi hizi. Nakufananisha na mbunge mmoja wa Chalinze. Very narrow minded idiot!
 
Siasa ni kazi ya hovyo kuliko upolisi, kama hajawahi kujitoa CCM aligombea urais kupitia ACT Wazalendo huku akiwa mwana CCM?
Hilo linawezekana kwa Tanzania... ni strategy tu. Hukumbuki mwaka 2015 Lipumba alijitoa ukawa kwa madai ya CCM kusimamisha wagombea wawili katika vyama tofauti. Moyo wa mtu msitu.. machoni mpinzani, moyoni CCM.
 
Ndiyo utakapokujua kuwa CCM bila unafiki haiendi. Magufuli angekuwa hai Majaliwa angekuwa na ubavu wa kumsimamisha Membe kwenye mkutano wake azungumze?
Kuna issue yawezekana itakuwa inafichwa ...ili tuamishie macho na masikio huku! Akina Gwajima wawili bado wapo unadhani kwa nini kimya muda huu. Ha ha haaa! Habari za hapa ni burudani tosha ha haaaa!
====
Betting: Kufika kesho muda kama huu uzi unaweza ukawa na page kama zaidi ya ishirini hivi!
 
Back
Top Bottom