TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mkuu jitahidi kuchagua maneno. Jioni njema.Naye....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jitahidi kuchagua maneno. Jioni njema.Naye....
Nakumbia trust me. Wote ni sawa. Musiba unadhani hana akili? Alikuwa anajitoa akili kwa sababu ya ulaji. Na Kikwete na Membe ni hivyo hivyo.Acha kuchekesha mkuu!
Hapo kuna wa kumlinganisha akili na musiba kweli?
Musiba alikuwa ana match akili na mwendazake tu. Wengine unawaonea kabisa!
Anasubiri Bingo toka kwa Musiba, akiipata yeye na CCM basi, ni njaa tu.Salaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
mmmmh..!!Huyu mzee wa Kupewa nchi 2025 ni mwanadiplomasia aliyepitia majaribu mbalimbali awamu ya 5 na kuyafaulu
Hakika Mwendazake ametupitisha kwenye BONDE LA UVULI WA MAUTI. Muache a REST IN HELL yule Ibilisi mkubwa.Magufuli alimfanyia figisu Membe,hatma yake kafa ,kawaacha watu wanakula bata Kama kawaida,
Mzee alikuwa na chuki sana
Muulize hao aliowataja wenye madaraka ambao hawana akili hayo madaraka wanayapata kutoka kwa watu wasio na akili au wenye akili kuwazidi?Acha kuchekesha mkuu!
Hapo kuna wa kumlinganisha akili na musiba kweli?
Musiba alikuwa ana match akili na mwendazake tu. Wengine unawaonea kabisa!
Mkuu,unaweza kuwa na hoja. Watanzania wengi njaa zinawatoa akili kabisa.Nakumbia trust me. Wote ni sawa. Musiba unadhani hana akili? Alikuwa anajitoa akili kwa sababu ya ulaji. Na Kikwete na Membe ni hivyo hivyo.
Nakukumbusha tu kuwa kabla hizo system hazijafutika walifutika wengi ndipo wewe ukasoma hadithi za kufutika kwa system.Haya ni maoni yako. Na umetumia ''akili za kitanzania'' kufikia hitimisho. Historia inaonyesha kulöikuwa na system zenye nguvu na zilifutika na walioziweka kama bonge la barafu linavyoyeyuka.
Siasa lazima utumie akili sana na ukitumia emotions au moyo to support mwanasiasa au kufanya maamuzi lazima utajuta siku moja, wanasiasa wazuri mara nyingi wanatumia ubongo wao kufikiria na kufanya maamuzi na ndio maana wanadumu muda mrefu, hao jamaa inaonekana waliweka mapenzi na ushabiki mwingi bila kutumia akiliSijui Bashiru na Polepole wanajisikiaje mida hii.!
Maana wanalazimisha matokeo😍😍😍CCM hata akigombea Kingwendu anaweza akawa Rais.
Usishangae sana... Uanachama wa vyama vya siasa ni holela sana. Haufanyiki chini ya kiapo kwa kamishina wa viapo!Aisee.
Kweli kila masika ina mbu wake....hawa jamaa masika yao imepita.Bashiru na Polepole huu uzi utakuwa mchungu sana kwao. Magufuli kwao alikuwa ni zaidi ya mungu.