Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Mzee membe bado anataka kuinyoosha Mwanaharakati Huru MusibaSalaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
View attachment 1964176
Hon. Bernard K. Membe
ilisemwa ACT-Wazalendo ni CCM BSiasa ni kazi ya hovyo kuliko upolisi, kama hajawahi kujitoa CCM aligombea urais kupitia ACT Wazalendo huku akiwa mwana CCM?
Hii nchi ukipata Urais wewe ndio untouchableWhat? Untouchable? Magufuli na kundi lake wako wapi? Hujui hata Kikwete na kundi lake nalo walishadidimizwa ila wameibuka kizalizali? Pia hujui mambo yanaweza kubadilika tena wakajikuta wako sehemu mbaya kuliko hata mwanzo?
Huyu jamaa angekuwa hata waziri mkuu,nchi ingependeza sanaSalaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
View attachment 1964176
Hon. Bernard K. Membe
HaekewekiSiasa ni kazi ya hovyo kuliko upolisi, kama hajawahi kujitoa CCM aligombea urais kupitia ACT Wazalendo huku akiwa mwana CCM?
Ha ha ha unataka useme BCM ndio alioweka nyongo ya mamba kwenye glass ya Mwendakuzimu?"Niguse ninuke"......akaguswa harufu watu hawaielewi....( unatakiwa uwe umekomaa kuelewa namna gani BCM amenuka baada ya kuguswa)...
ataongea na Wanahabari kinagaubaga
"Sijawaji kujitoa CCM".
17March 2021, saa 6 usiku goli likafungwa dk. za nyongezaJamaa aliahidi bao dakika ya 95 ya mchezo, na kweli akaja kulipata. Kwa hilo tu nampa heshima yake.
[emoji38][emoji38][emoji38] Dk ya 89Kinagaubaga, je kikamilifu lini?
Yale mavazi ya zambarau ya zitto alivaa ya nini
Musiba ana hali ngumu sana,ndo tatizo la kutumika kama bigGSalaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
View attachment 1964176
Hon. Bernard K. Membe
😆😆😆🤣🤣🤣Siasa!!![emoji38][emoji38][emoji38] Dk ya 89
Bora big G, yule alikuwa toilet paper na kopo la washroomMusiba ana hali ngumu sana,ndo tatizo la kutumika kama bigG
Unatakiwa uwe na akili kuelewa mtu anachomaanisha, Membe hakujitoa CCM bali alifukuzwa kwa chuki za mwendazakeSiasa ni kazi ya hovyo kuliko upolisi, kama hajawahi kujitoa CCM aligombea urais kupitia ACT Wazalendo huku akiwa mwana CCM?