Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Goal La Dakika Ya 89,Niguse Ninuke!!!🤣🤣🤣Komredi B.C.M!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goal La Dakika Ya 89,Niguse Ninuke!!!🤣🤣🤣Komredi B.C.M!
Walidhani magufuli ataishi mileleBashiru,Polepole mpo wapi?Mwenyekiti kalala Chato. Maisha haya jamani.
🤣🤣Goal La Dakika Ya 89,Niguse Ninuke!!!
Mwisho Wa Ubaya, Ni Aibu Sasa Hivi....Sijui Bashiru na Polepole wanajisikiaje mida hii.!
Ibilisi ni mamako aliekuzaaHakika Mwendazake ametupitisha kwenye BONDE LA UVULI WA MAUTI. Muache a REST IN HELL yule Ibilisi mkubwa.
Yasemekana bado Mwendazake yuko mlangoni na kiroba chake Shetani hajui amuweke wapi maana dhambi zake zinamtisha hata Shetani mwenyewe
Haa....HaaWao walidhani Magufuli ataishi milele!!!
Oops!!!!Magufuli alimfanyia figisu Membe,hatma yake kafa ,kawaacha watu wanakula bata Kama kawaida,
Mzee alikuwa na chuki sana
Anaingia Tu, Nchi Ngumu Sana HiiHatima gani tena wakati hajawahi hama ccm
Kila nafsi itaonja umauti, tatizo ni kwa wale wanaopata madaraka na kujiona ni miungu watu na kufikia hatua ya kutoa maagizo mtu fulani ashughulikiwe.Usisahau naye kuna siku ataondoka! Hapo sjui utasemaje ukiwa hai?
Kwa hiyo anayepoteza wafuasi wa magufuli ana haki ya kufanya hivyo na ana roho nzuri ..kwa mkabala huo unamaanisha mzalendo ni yule aliye na itikadi sawa au mlengo sawa na wewe ?sasa haki huwa iko wapi kama wote mnafanana uovu tofauti zenu ni majira ya kutenda uovuJamaa alikuwa na roho mbaya sana. Wapambe walisumbua sana. Nao ni muda wa kuwapoteza Kama walivyopotezwa wazalendo wengine
Wote Tumebaki Midomo Wazi Sasa Hivi Kama Tumekamatwa Ugoninamkubaligi Sana simropokaji
Wewe Ni Msukule wa magufuli , majaliwa yuko pamoja na Samia, alikuwa Hana amani chini magufuli,Unaumiaje? Keshokutwa atatema nyongo na ndipo mtakapotambua kuwa kusini Wana jambo lao 2025! Majaliwa ni game changer baada ya mama kujipigia promo Kwa kina mama wenzake kumbe midume inamchora TU Kiana! Tambua hilo mataga one kuwa hakuna kaskazini Wala Kanda pendwa!
Waliompokea act wako wapi?Salaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
View attachment 1964176
Hon. Bernard K. Membe
Exactly,apotezwe tu!Yule kauzu anatakiwa apelekewe moto ikibidi aende alikoenda bosi wake
Exactly,apotezwe tu!
Natamani wanipe Mimi nimfanyie torturing kenge yule,aliwavunjia heshima kina Kikwete na wazee Wengine wastaafuMusiba anatakaiwa apelekewe moto kisawasawa mbwa yule alidharau sana wastaafu wetu
subilini dawa imeshaiva subilini kupewa mmoja kwammoja nakwamuda wake ,mlinzi wenu hayupoWote Tumebaki Midomo Wazi Sasa Hivi Kama Tumekamatwa Ugoni