Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee

Hakika Mwendazake ametupitisha kwenye BONDE LA UVULI WA MAUTI. Muache a REST IN HELL yule Ibilisi mkubwa.

Yasemekana bado Mwendazake yuko mlangoni na kiroba chake Shetani hajui amuweke wapi maana dhambi zake zinamtisha hata Shetani mwenyewe
Ibilisi ni mamako aliekuzaa
 
kw
Jamaa alikuwa na roho mbaya sana. Wapambe walisumbua sana. Nao ni muda wa kuwapoteza Kama walivyopotezwa wazalendo wengine
Kwa hiyo anayepoteza wafuasi wa magufuli ana haki ya kufanya hivyo na ana roho nzuri ..kwa mkabala huo unamaanisha mzalendo ni yule aliye na itikadi sawa au mlengo sawa na wewe ?sasa haki huwa iko wapi kama wote mnafanana uovu tofauti zenu ni majira ya kutenda uovu
 
Ndio watu wajifunze siasa za chuki na kushusha heshima watu hazifai, Musiba alitukana sana wazee na wastaafu bila aibu sasa hivi atakua anajinyea huko no backup mjini limebakibaki tu kama poyoyo
 
Wewe Ni Msukule wa magufuli , majaliwa yuko pamoja na Samia, alikuwa Hana amani chini magufuli,
Kamwe hawezi kumsaliti mama, sukuma gang mtalimia meno chini ya Samia
 
Waliompokea act wako wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…