Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Ungemsikiliza Membe jana ungesikia kuna baadhi ya mambo aliyoongea yalikuwa yana make sense. Mengine yalikuwa kama kibwagizo tu. Anasema anasubiri dk za mwisho aje afunge goal dk ya 89. Ndo atakapoingia na kufunga goal la ushindi.

Nimeangalia katika list ya wachezaji first 11 hayupo. Kwa wale walio bench nako hayumo. Nmefuatilia mazoezi nikakuta amefanya mazoezi mara mbili tu toka asajiliwe zaidi ya mwezi uliopita.na ameonesha kiwango cha chini sana mazoezini.

Kiasi kwamba Coach hajamweka hata kwenye list ya wachezaji wa akiba.na hata team inapoenda kucheza hayumo kwenye wachezaji wanaoenda na team. Najiuliza atacheza akiwa jukwaani na kufunga goli huko? Kuna shida sehemu.
 
Ungemsikiliza Membe jana ungesikia kuna baadhi ya mambo aliyoongea yalikuwa yana make sense. Mengine yalikuwa kama kibwagizo tu. Anasema anasubiri dk za mwisho aje afunge goal dk ya 89. Ndo atakapoingia na kufunga goal la ushindi.

Nimeangalia katika list ya wachezaji first 11 hayupo. Kwa wale walio bench nako hayumo. Nmefuatilia mazoezi nikakuta amefanya mazoezi mara mbili tu toka asajiliwe zaidi ya mwezi uliopita.na ameonesha kiwango cha chini sana mazoezini.

Kiasi kwamba Coach hajamweka hata kwenye list ya wachezaji wa akiba.na hata team inapoenda kucheza hayumo kwenye wachezaji wanaoenda na team. Najiuliza atacheza akiwa jukwaani na kufunga goli huko? Kuna shida sehemu.
Membe naye analeta "ukhnisi" kama alivyosema Maalim
 
Kumbe ndiyo maana Magufuli alimtimua huko CCM sikujua ni mpuuzi wa kiwango hiki
 
Wabongo sio wa kuchezea, sishangai kabisa kuona membe anabeba nchi dakika ya 89.

Usitishwe na mafuriko ya baadhi wagombea, waTZ wamesha cope tabia za wajumbe tarehe 28 Oct mtaona maajabu ya wa TZ wakiwa katika sura ya wajumbe.
 
Maalim Seif nimemwelewa sana leo,huyu jamaa kavuruga hesabu zote; Inawezekana mzee wetu kachero goli lake la dakika 89 lilikuwa ni kuvuruga upinzanii kwa kumuunga mkono kiongozi wa chama kijani
Membe anaendelea kujipanga dhidi ya ushindi.
IMG_20201023_090815_848.JPG
 
Back
Top Bottom