Bernard Membe yupo kweli?

Bernard Membe yupo kweli?

Membe anajua anachokifanya, na anajua muda wa kampeni bado, na anajua kuwa kufanya kampeni kabla ya wakati madhara yake ni nini. Ndio maana hata Magufuli hafanyi kampeni.
 
Membe ni Simba mwenda pole ila lazima ale nyama.
Nyinyi ndiyo mnamchuuza mzee wa watu. Wabongo nuksi sasa kabaki peke yake lakini wakati hajahama walimwambia tangulia mzee tuko nyuma yako tunakuja.
 
Huyo jasusi bado hajaonja joto ya jiwe ya kuwa upinzani!

Siku atayopewa msukosuko atarudi mwenyewe CCM bila kupenda.

Kwasababu ya wanaccm wengi kutegemea vyombo vya dola kufanya siasa, inakuwa vigumu sana wao kufanya siasa nje ya mbeleko ya vyombo vya dola. Ukweli mchungu ni kuwa ACT ina nguvu Zanzibar kwa sababu ya Maalim Seif, ndio maana ACT ilifanya shamra shamra huko Zanzibar ili kujenga taswira ya kukubalika kwake. Kwa huku bara ACT ina ushawishi mdogo sana, ndio maana ACT inahofia kufanya shamrashamra za Zanzibar kwani watavunjika moyo.

Zito anang'ng'ania muungano na cdm maana anajua wazi kwa huku Bara wapiga kura wa kweli wa upinzani wako cdm. Na anafahamu wazi wafuasi wa Cdm hawayumbi ndio kinachoonekana kwenye mizunguko ya awali ya Lisu. Kwa mtu kama Membe anayeongea kama yuko chumbani, ACT wanajua kabisa akija na speed kama ile ya Zanzibar itakuwa aibu. Kimsingi Zito ndio alipaswa kugombea urais kupitia ACT, na sio huyo Lowassa wa Lindi.
 
Huwa ninacheka sana nikisikia watu wanasema eti wapinzani kazi yao ni kutukana. Fuatillia vizuri hayo yanayoitwa matusi, utakuta ni ule ukweli ambao wapambe wanaowazunguka watawala hawawezi kuwaambia, na kwa vile ukweli huo hawaambiwi kwa lugha ya kuremba, ndio inabidi waseme ni matusi ili kupoteza ukweli usifahamike. Kwasababu ww ni muelewa wa kiwango cha kuridhisha, hebu weka hayo matusi wangalau mawili tuyaone.
Mkuu, nikiyataja si nitakuwa nimetukana tena? Kwa kweli staji mkuu
 
Membe anajua anachokifanya, na anajua muda wa kampeni bado, na anajua kuwa kufanya kampeni kabla ya wakati madhara yake ni nini. Ndio maana hata Magufuli hafanyi kampeni.
Dogo tuseme hili mara ngapi ili uelewe? Tume bado haijapitisha wagombea, kwahiyo hakuna kitu kama hicho. Ni propaganda za WAHUNI WACHACHE huko CCM, umeelewa sasa?

ITOSHE TU KUSEMA, MITANO YA UTAWALA HUU WA MKONO WA CHUMA SASA BASI..
 
Anayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.

Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!

La hasha.

Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.

Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.

Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....

Sasa huyo ‘jasusi mbobezi’ yeye yuko wapi?

Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.

Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!

Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Ushuzi mtupu....nyambafu...wa kwako na uchumi wa kati yuko wapi zaid ya kuwarubuni viongoz wa dini na wasanii.....we ni kiaz
 
NARUDI KUSEMAA HAKUNAA KOSA UPINZANI WATAFANYA KAMA KUKUBALI KUUNGANA KUMSIMAMISHA MEMBE. .!!

Membe ni Danganya toto ila yule ni CCM kama ambavyo ACT ni tawi lake yani ndo maana kampeni za ACT hazipigwi vita kabisaa vyombo vya habari vikiripoti kuhusu Lisu moto unawawakiaa ila Membe aaaha...
 
Anayevuma kwa sasa ni Tundu Lissu tu.

Na si kwamba anavuma kwa sababu ana sera bora na anazinadi kwa ustadi!

La hasha.

Anavuma tu kwa kelele kelele anazozipiga akiwa huko kwenye mizunguko yake ya kutafuta wadhamini.

Sasa ikija kwa Bernard Membe, si ajabu ukimwuliza Mtanzania wa kawaida barabarani kuwa jana au leo Membe alikuwa wapi, sidhani kama kuna mtu ataweza kukuambia.

Kwa Lissu hali ni tofauti kabisa. Majuzi ile alikuwa Ikungulyabashashi. Juzi alikuwa sijui Arusha au Kilimanjaro. Jana alikuwa Iringa au Morogoro....

Sasa huyo ‘jasusi mbobezi’ yeye yuko wapi?

Hata vile vijembe vyake dhaifu kule Twitter naona hatoi tena.

Isije akawa keshaguswa na sasa ananuka!

Jamaa ni dhaifu sana. Siasa naona haimkubali. Haiba yake haiendani na mikikimikiki na mashamsham ya kisiasa.
Sasa kama unajua mahali Lisu alipo mbona 'sijui, au' zipo nyingi sn? Wewe siunafahamu exactly mahali alipo?
 
Membe hana ubavu wala kaliba ya kupambana na aina ya utawala wa awamu ya 5 ya inayojiita CCM Mpya inayopenda ku - bully wananchi na vyama vya upinzani. Safari hii CCM Mpya imekutana na mpambanaji wa kweli Tundu Lissu atakaye tuvusha toka kuwa wanyonge na kuwa watu-huru wenye sauti katika nchi yao huku tukitembee vifua mbele kutekeleza kauli mbinu za muasisi Mwl . Nyerere - Uhuru na Kazi, Uhuru na Maendeleo ,Uhuru na Umoja

18 JULAI 2020
Viwanja vya MwembeTogwa
Iringa, Tanzania

AITAKA SERIKALI KUACHA VITISHO UCHAGUZI HUU WA 2020


Tundu Lissu awapa nasaha serikali na wasimamizi wa uchaguzi kuwa hali imebadilika, dunia nzima inaitazama Tanzania hivyo hakuna nafasi watu wasiojulikana wasijulikane.
Source : CHADEMA MEDIA TV
 
😄 Wewe ni hakimu wa kesi hii siyo?
Sasa mh hakimu, sitaji, na nione utanifanyeje!!
Hahahaha sikia comred mwambieni babu yenu kama anakereka na kuambiwa ukweli aachane na siasa akafanye mambo yake binafsi, we mtu unaongoza Mali za umma wenye Mali zao wakihoji au wakitaka ufafanuzi unakuwa mbogo na kulaumu eti unatukanwa
 
Back
Top Bottom