People hate hate what they can't qoncure,fear what they don't understand.
Kwanini unataka,unasubili ashuke?
Mond kupata ukwasi(mkwanja mrefu)sio sababu ya wewe kukosa,
Watu wengi wanaonesha chuki kwa mtoto wa Tandale,ukichunguza sana,hawamchukii yeye kama Mond,wanatamani wawe kwenye nafasi yake hapo alipo,mijumba mikali,ndinga za kutosha za bei mbaya,pesa ndeefu,
Totos za kumwaga,sasa kwa vile hawawezi kuwa pale alipo,chuki inawajaa vifuani,
Sasa unajiuliza Mond kakosa tuzo,wewe unashangilia!unapata faida gani?unaishi kwenye chumba master Cha kupanga,na ka ajira kenye kipato hakifiki hata 1M!
Mwenzio anaishi Mbezi,katoa ajira kwa watu kibao,wanaovuta kuanzia 2M kwenda mbele,mtu kama huyu ukimchukia,kwanza sio jirani yako,huwezi kukutana nae popote,wewe ukila wali nyama wa buku 5,unaona bei kubwa!
Mwenzio anakula soda ya buku 10!
Ukimchukia,lazima utakuwa na matatizo ya akili.