BET Awards 2021 Los Angeles Marekani, Diamond aangukia Pua

BET Awards 2021 Los Angeles Marekani, Diamond aangukia Pua

Mimi nadhani hizi award ni kisiasa zaidi au connection maana kunatakiwa kuwe na clear criteria ili uwe nominated tu je ni vigezo vipi vinatumika. Kutoa album na kuuza sana, kutoa single na ku hit, kucheza sana mimi naandika tu lakini ingekuwa ni rahisi kusema X amechaguliwa sababu ya kazi yake XYZ sio majina tu nominees wengi lakini wengine hatujui kazi zao.
 
Nilikuwa simpendi Sadala lakini alivyovaa kimasai nimemkubali Sana mpaka nimetamani angechukua kombe
Mimi hapo ndio nimeona kachemka sababu sisi wa Tanzania sio vazi letu ila la wamasai tu kama kabila hata Kenya wanavaa nadhani hakushauriwa vizuri unaona hata anaingia pale hakuna wala aliyemshobokea mimi nadhani bado tuna safari ndefu.
 
Burna kwa sasa anaushawishi
Hata diamond angebaki na wizkidayo bado angeambulia patupu.
Kweli. Ingekiwa mondi vs wizkidayo angeshinda wiz. Mondi hawezi kutoa album kama ya wiz. Si kwa ma produza wa bongo.
 
Yeye angeenda kutafuta mchumba tu, ilikua ni njia nzuri kwake kuliko kusubiri tuzo wakati anajua fika aidha Star Boy au Giant man mmoja angechukua.
 
Mimi hapo ndio nimeona kachemka sababu sisi wa Tanzania sio vazi letu ila la wamasai tu kama kabila hata Kenya wanavaa nadhani hakushauriwa vizuri unaona hata anaingia pale hakuna wala aliyemshobokea mimi nadhani bado tuna safari ndefu.
Sisi Tanzania vazi letu Ni lipi?
Atleast la kimasai Ni Kabila Kubwa hapa Tz almost la pili/tatu Kwa ukubwa.
Ulitaka avae suti?kwahyo bora kuvaa vazi la mzungu wa marekani kuliko mmasai wa hapa hapa bongo kisa anapatikana Na Kenya?
Mi naona Ni confidence kubwa aliyoonesha kutangaza uafrica kuliko uzungu
 
Haijawai tokea eti watu wote wakuunge mkono. Yeye apambane tu,kwani ni kwa faida yake na familia yake. Sisi tusiomuunga mkono acha tuendelee kwani hatumpunguzii chochote nasi hatotuongezea chochote tukimuunga mkono.
Kuna tofauti kati ya kutomuunga mkono na kufurahia yeye kushindwa, tunaishi na haters hata ndani ya familia zetu.
Uchawi si mpaka kuruka uchi na ungo usiku.
 
nilivaa kama mganga wa kienyeji lakini wap....
 
Japo tumepigwa ila Taifa linajivunia kijana mwenzetu kutuwakilisha vyema kimuziki mpaka mavazi(appearance) [emoji8]
Mwanzo mzuri, tuombee na wengine waione njia.[emoji1488]
Kashinda Burna boy ikapigwa background "kilometre" sasa ndugu yetu angeshinda wangepiga background gani? " unataka lala ...awapi tuzime mziki...awapi, kisambulike sambwanda ...sijui nani kachanika musamba..."

Anatakiwa ajivunie tu kuwa nominated inamtosha.
 
Kweli. Ingekiwa mondi vs wizkidayo angeshinda wiz. Mondi hawezi kutoa album kama ya wiz. Si kwa ma produza wa bongo.

Hayo ma single yale ya kukurupuka kisa harmonize au alikiba katoa na yeye anamjibu ndani ya wiki moja katoa audio na video na kaiweka mtandaoni kupata view

Ona mfano hii ya mwisho na mupao ,mpaka mamifuko waliobebea manguo na vifaa vyao yanaonekana kwenye scene.

Hawatulii kutumia muda ku plan kazi itaanzia wapi na kuishia wapi. Editors watumie muda mrefu kuondoa vimakosa vidogovidogo na wajue kuwa kazi wsnayoitengeneza itakwenda kushindana na zingine duniani katika kila idara kuanzia vocal hadi graphics na sio unapo kwenda hapo kahama, kenya au sudani kusini na kujaza uwanja uone umemaliza

Muda sasa wasanii wa bongo wawekeze kwenye audio na hraphics wajifunze kuimba na sio kutegemea sauti za computer (autotunes) kwa asiyeelewa atashangilia kuwa wanajua kuimba ila anayejua ni ushsmba kutumia outo tunes kwa karne ya sasa
 
Beyonce kila mwaka anapata tuzo wakati hana nyimbo za maana ndo maana kuna watu wanasema hayo matuzo ni km kuongeza mabati tu ndani
 
Mimi hapo ndio nimeona kachemka sababu sisi wa Tanzania sio vazi letu ila la wamasai tu kama kabila hata Kenya wanavaa nadhani hakushauriwa vizuri unaona hata anaingia pale hakuna wala aliyemshobokea mimi nadhani bado tuna safari ndefu.
Alikosea Sana kwenye hlo vaz maana ashazoeleka na suti

Sasa vazi la wenzie anaenda nalo
N Kama yeye ndo mmasai
 
1624858965676.png
 
Back
Top Bottom