Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseee kwa huu mkeka Diamond hatoboi
Muda utasema, Yamebakia masaa machache
Jamhuri ya tweeter ina nguvuHili liwe funzo kwake na kwa wengine.
Kumbe tunaweza kuidai katiba mpya.Jamhuri ya tweeter ina nguvu
KabisaaaKumbe tunaweza kuidai katiba mpya.
Mkuu uliwahi kutoka hadharani kufanya mambo ya kimapinduzi? Kama YES, respect kwako.Awesome. Kura yangu imeenda sehemu salama. Haya Sadala rudi uje upokee misimu ya Samia ukiwa stejini huko ngangaikoko. Yani wewe tuzo utachukua labda itokee Chimwaga complex.
Wizkid muda wake ushapita,ana bet awards mbili tayari ya 2012 na 2017, pia wizkid alishawachambaga BET so hawamfagiliiKuna kaswali flali like:
'sasa itakuwaje?'
Big Up Mondi kuwalikisha. Nilidhali this time around Wizkid wangempa au mwingine ila si Burna
Nguvu zielekezwe kwa wengine wote waliozoa makofia.Hili liwe funzo kwake na kwa wengine.
Atengenezewe viewers choice kama ya Rayvanny ndio atapata kutokana na kura za Instagram.Diamond hajawahi kupata hiyo tuzo.
Haijawai tokea eti watu wote wakuunge mkono. Yeye apambane tu,kwani ni kwa faida yake na familia yake. Sisi tusiomuunga mkono acha tuendelee kwani hatumpunguzii chochote nasi hatotuongezea chochote tukimuunga mkono.Kuna furaha na vigeregere vimerindima kwa baadhi ya Watanzania, hii inanikumbusha familia zetu pale baadhi ya ndugu hujawa na furaha one family member ambaye alikuwa njema mambo yakimharibikia na hiyo furaha hujumuisha hata kwa wale aliowainua.
Uchawi si mpaka kuruka uchi usiku, kuwa nominee ndiyo level yake kwa sasa hivyo aongeze bidii na maarifa hasa maarifa ili azidi kusonga mbele.
Dogo endelea kupambana, nimekumbuka title ya movie moja 'Get rich or die trying' nathani ndiyo fighting spirit inayostahili.
Mwenye highest ni Burnaboy kwa Grammy. Sasa kwa nini wampe tena BET wakati Wiz ana album kali tu? Na kama hawamfagilii ni kwa nini walim nominate?Wizkid muda wake ushapita,ana bet awards mbili tayari ya 2012 na 2017, pia wizkid alishawachambaga BET so hawamfagilii