Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Daa watu wamesaga kunguni mpaka kakosa
Hili liwe funzo kwake na kwa wengine.Kweli mumefanikiwa katika hilo! Mtandale kasagiwa kunguni 😝😝😝 hadi kaishia kwenye “Asante kwa kushiriki!”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa watu wamesaga kunguni mpaka kakosa
Hili liwe funzo kwake na kwa wengine.Kweli mumefanikiwa katika hilo! Mtandale kasagiwa kunguni 😝😝😝 hadi kaishia kwenye “Asante kwa kushiriki!”
Piga sadalaJapo tumepigwa ila Taifa linajivunia kijana mwenzetu kutuwakilisha vyema kimuziki mpaka mavazi(appearance) [emoji8]
Mwanzo mzuri, tuombee na wengine waione njia.[emoji1488]
Harudii tena🤓🤓🤓Hili liwe funzo kwake na kwa wengine.
😂😂😂😂Harudii tena🤓🤓🤓
Mwanzo upi mara ya tatu hii anaangukia pua 😂😂😂 mie wala nisingeenda ningejifanya nina dharura tu😅Japo tumepigwa ila Taifa linajivunia kijana mwenzetu kutuwakilisha vyema kimuziki mpaka mavazi(appearance) [emoji8]
Mwanzo mzuri, tuombee na wengine waione njia.[emoji1488]
huwezi kushindana na sisi,Magu mwenyewe alitushindwa. Next time uwe mnyenyekevu
Kuna connection huwa zinapatikana ukichangamka. Ndio maana kuna wasanii huwa wanahudhuria hata kama hawapo kwenye nominationsMwanzo upi mara ya tatu hii anaangukia pua 😂😂😂 mie wala nisingeenda ningejifanya nina dharura tu😅