barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Sasa ulidhani kama zile kampeni zenu zingekua na manufaa si angekua disqualified? Asingekuwapo hapo...Wamepost wote wanahuska katika kipengele hicho..#burnaboy,diamond &wizkid.
Sio dmond peke yake
Unarudia kutoka nje ya mstari either kwa makusudi au ujinga uliokuzidi kichwa. Mimi nayaheshimu mawazo yake nawasema ninyi kwa unafiki wenu kuhusu sababu za kwa nini aondolewe. Mnahubiri uhuru lakini hamtaki uhuru huo watu wenye mawazo na mitazamo tofauti na ninyi waufurahie. Ungekuwa undumi la kuwili kama ningekwambia usimpe kura msanii unaemtaka alafu me simtaki.Acha ujinga wewe sasa kama wewe unaheshimu maamuzi ya domo pamoja na kutoyakubali sasa iweje UNUNE kwa wale ambao wanataka kumpigia kura msanii mwingine? Mbona una undumilakuwili? Acha upumbavu wako!
Akikujibu nitagLet's be fair?! Are you?! Nimekuuliza: Ikiwa KILA MMOJA ana haki ya kuchagua upande wa burudani; sasa kwanini waendeshe kampeni za kutaka aenguliwe kwenye BET Awrads? Kwanini wasiache mashabiki wa burudani wafanye maamuzi kwa utashi wao badala ya kuhangaika kutaka aondolewe?! Hivi hapo kuna tofauti gani na utawala wa JPM waliokuwa wanaulalamikia kwa kuengua watu kwenye chaguzi? Jibu hapo kwanza!!
Chadema thy are idiots gang! hawa wakija kupata dola watakuwa ni makatili wankutupwa na zaidi ya magaidi na ma dictator.
Chama gani!!?Nimepita katika mitandao ya kijamii nilichoshaa ni kuona chama kinachopambana kuchukua dola eti kimejielekeza kufanya vita na propaganda zote kwa mtu mmoja tena msanii na kusahau mikakati yao ya kupambania dola ndio kusema nguvu hii kubwa inatafsiri nini? Je Diamond ndio dola yenyewe? [emoji38][emoji38][emoji38]
Mpaka hapa Diamond ameonyesha ukubwa wake sio mchezo. Cha ajabu BET wenyewe wamempost Diamond Simba petition iko wapi?
Naweza kusema kwa hali inavyokwenda Diamond afanye yafuatayo:
@ awe makini zaidi kuliko kipindi chochote
@ aongeze ulinzi na awe na mtu wa kufanya tathmini ya hali ya usalama dhidi yake
@ mafans wake waongeze nguvu ya kujibu mashambulizi dhidi ya boss wao
Nawakumbusha katika anga/ulimwengu wa mitandao ya KIJAMII WASANII WANA NGUVU KULIKO MWANASIASA
Nimepita kuwakumbusha [emoji2327][emoji2327][emoji2327]
Kabisa,Nimepita katika mitandao ya kijamii nilichoshaa ni kuona chama kinachopambana kuchukua dola eti kimejielekeza kufanya vita na propaganda zote kwa mtu mmoja tena msanii na kusahau mikakati yao ya kupambania dola ndio kusema nguvu hii kubwa inatafsiri nini? Je Diamond ndio dola yenyewe? [emoji38][emoji38][emoji38]
Mpaka hapa Diamond ameonyesha ukubwa wake sio mchezo. Cha ajabu BET wenyewe wamempost Diamond Simba petition iko wapi?
Naweza kusema kwa hali inavyokwenda Diamond afanye yafuatayo:
@ awe makini zaidi kuliko kipindi chochote
@ aongeze ulinzi na awe na mtu wa kufanya tathmini ya hali ya usalama dhidi yake
@ mafans wake waongeze nguvu ya kujibu mashambulizi dhidi ya boss wao
Nawakumbusha katika anga/ulimwengu wa mitandao ya KIJAMII WASANII WANA NGUVU KULIKO MWANASIASA
Nimepita kuwakumbusha [emoji2327][emoji2327][emoji2327]
Chama gani!!?
Kigogo nae ni chama acheni kuzusha uongo.
Chadema hakuna kitu walichoanzisha alafu wakafanikiwa maandamano ya ukuta ilifeli, kugomea kutumia line ya vodacom ilifeli n.kteam wanaharakati uchwara chaliiii
Chadema hakuna kitu walichoanzisha alafu wakafanikiwa maandamano ya ukuta ilifeli, kugomea kutumia line ya vodacom ilifeli n.k
Nyinyi pia mjifunze kuheshimu uamzi wa Diamond kuside na CCM, yani nyinyi mnatama tuheshimu mawazo yenu ilihali nyinyi hamtaki kuheshimu mawazo ya Diamond mwenyewe?Ni vizuri kuheshimu maoni na hisia za watu hata kama zinapingana na za kwako, kwa kuwa wewe upo upande wa diamond, haimaanishi kwamba kila mtu atakua upande huo, kama diamond ni mkamilifu na ana qualifications zote za kushinda hiyo award, mimi naamini atashinda hata kama wanaharakati wanampinga, kuweni tu watulivu hakuna haja ya kuwaita wenzenu mazezeta, ndio maana halisi ya demokrasia, kila mmoja ana haki ya kuchagua upande anaoutaka, diamond alikua upande wa ccm wakati wa kampeni, kuna mpinzania alimzuia? Jibu ni hakuna kwa sababu tunaamini kila mtu ana haki ya kuchagua upande anaoupenda
Wafuasi wa diamond wamepanic sijajua kwa nini ila mimi nadhani ingekua vizuri kama mngeonyesha confidence kwa msanii wenu, msitetereshwe na yanayoendelea mtandaoni maana BET wenyewe wana vigezo vyao ambavyo wanavizingatia, kama amekidhi vigezo basi kombe la kwake
Ona kubwa jinga hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bet africa ni katawi tu ka Bet huku africa na wamepost nominees kutokea Africa..don't get twisted.
Wanazidi kumuongezea popularity bila wao kujua, alafu dogo mwenyewe wala hata haangaiki nao kabisa[emoji23].Kama tuzo ingetokana na comments kwenye Instagram page then Chibu angeibeba mapeema maana comments zometia fora
Anaujini kwasababu hajaenguliwa kama mlivyokuwa mnataka, nyinyi na yule Mungu wenu wa Twitter.Sasa we utapost vipi kipicha hakina uthibitisho, ishathibitishwa na mdau hapo juu.....ujini gani unaosemea? Si wamepostiwa wote au ni yeye peke yake?
Au sio.!Kaa kimya kama hujui nafasi ya Tundu Lissu katika chadema na alichopost kasome. Usipende kubaki nyuma katika mitandao wakati unapenda ku comment