Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
Mbali na dhambi kadha wa kadha zinazozalishwa baada ya mtu kuingia katika mfumo huu jambo kubwa na baya zaidi kwa mtu huyu ni kwamba mfumo utamdai UMASKINI in long term hata kama atafanikiwa kubutua hata bilioni 1+ bado mfumo utamdai awe MASKINI
Kama sio uchumi kuporomoka basi atabaki na pesa ila zitamtaka awe maskini kupitia starehe za wanawake, pombe, ulafi na over spending/purchase so baada ya muda depression, magonjwa na mauzauza yatakuua taratibu kuanzia rohoni mpaka mwilini
So kabla hujafa mfumo huu utakudai uwe maskini kwanza kupitia afya yako, uchumi, nafsi na kila kitu kinachokuzunguka. Huu mfumo ni hatari kwasasa duniani kuliko ugonjwa wa ukimwi.
Ngoja niishie hapa.
Kama sio uchumi kuporomoka basi atabaki na pesa ila zitamtaka awe maskini kupitia starehe za wanawake, pombe, ulafi na over spending/purchase so baada ya muda depression, magonjwa na mauzauza yatakuua taratibu kuanzia rohoni mpaka mwilini
So kabla hujafa mfumo huu utakudai uwe maskini kwanza kupitia afya yako, uchumi, nafsi na kila kitu kinachokuzunguka. Huu mfumo ni hatari kwasasa duniani kuliko ugonjwa wa ukimwi.
Ngoja niishie hapa.