Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo naifanyia kazi mkuu, ila ina apply kwa ........ungekuwa unaijua formula bila shaka ungekuwa bilionaire
hakuna sure odds, wingi au uchache wa odds usikudanganye, hata 1.03 inachana mkeka!Naomba kuuliza kuna mdau anaifahamu account ya betsolutions ya telegram, huyo jamaa ana group lake la odds 2-3 kila siku na anatoza gharama ya mwezi mzima na nusu mwezi yaani siku 15, shauku yangu nataka kufahamu kuna ukwelii au ni mbinu ya kutaka kuwapiga watu ninafikili kujiunga kule maana naona kutengeneza naliwa sana na muhindi,, muda wa kuacha bado sijafikiria ila ukifika hasara ikizidi ntaacha ila kwa sasa sina mpango huo
KimbiaNaomba kuuliza kuna mdau anaifahamu account ya betsolutions ya telegram, huyo jamaa ana group lake la odds 2-3 kila siku na anatoza gharama ya mwezi mzima na nusu mwezi yaani siku 15, shauku yangu nataka kufahamu kuna ukwelii au ni mbinu ya kutaka kuwapiga watu ninafikili kujiunga kule maana naona kutengeneza naliwa sana na muhindi,, muda wa kuacha bado sijafikiria ila ukifika hasara ikizidi ntaacha ila kwa sasa sina mpango huo
jidanganye!Nipo naifanyia kazi mkuu, ila ina apply kwa ........
NA ikiwezekana basi inakuwa sio kamari tena....
Sio dawa mkuu,jidanganye!
Hakuna dawa inayoweza kubadili matokeo ya timu 13 mabara tofauti tofauti haipo haipo haipo, na wewe sio wa kwanza kuwaza hivyo! Wapo wanaoshinda ila ni 1/millions, uwe unafuatilia matokeo ya jackpot ya s.pesa uone last winner alipatikana lini!
Pia umeni quote vibaya mkuu, hujanielewa vizuri.jidanganye!
Hakuna dawa inayoweza kubadili matokeo ya timu 13 mabara tofauti tofauti haipo haipo haipo, na wewe sio wa kwanza kuwaza hivyo! Wapo wanaoshinda ila ni 1/millions, uwe unafuatilia matokeo ya jackpot ya s.pesa uone last winner alipatikana lini!
Yalishakukuta mkubwaKimbia
Ndio. Jackpot suchezi lakini na2eza kubet mikeka miwili au yote ikatiki au yote ikachanika au nikala mmoja na mwingine nikapoteza.sawa nadhani una uzoefu.
Ukiachana na jackpot, Ulishawahi kulose angalau mikeka miwili mitatu mfululizo?
Sawa. Cheza kamari, jenga uchumi wa nchi yako. Kwani usipocheza utatajirika?Kamari inaharibu mahusiano yako ya kifamilia na kijamii,kiuchumi,kiiamani n.k
Ndio. Timu za ushindi zipo. Man City, Real Madrid, PSG, Arsenal, Celtic, Ludogorets, Qarabag, HJK, Ferencovoros, AEK, PSV, na nyingine nyingi mkuu.[emoji3][emoji3]
we jamaa utachekwa sana ongea taratibu usisikike!
Kumbe kuna timu za ushindi?!!
Nabetia hela and i stake what i can afford to lose ndio maana siliilii kama wewekwahyo nabetia namba au sio
Ndiowewe ukibeti mara moja ndo unashinda?
Uliacha pombe kwa muda gani hadi kuanza kunywa tena.Mkuu Kamali ni mbaya Sana Ila ukiacha usiache Kwa kutangaza.
Nilileta uzi humu WA kuacha kunywa pombe lakini huwezi Amini bado nastua mdogo mdogo Yani nimepunguza Tu.
Najua Taratibu nitaacha lakini najiuliza nikiacha mazima kunywa pombe nitatumia starehe gani jibu sijalipata bado.
Kamari ni kama kazi zingine, ikiwa wewe huamini katika kamari basi Kuna wananchi wanaamini katika hilo, na wanapata mafanikio.hiyo umetoa wapi!
Hata hivyo kuna mwenye mgodi na mchimbaji ila wote ni miners