GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Imbecile.Hivi mtu unajitoaje ufahamu kutoa hitimisho kuhusu furaha ya moyoni ya mtu tena kuhusu matrimonial issues kama ndoa?!? Tunazidishaga ujuaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imbecile.Hivi mtu unajitoaje ufahamu kutoa hitimisho kuhusu furaha ya moyoni ya mtu tena kuhusu matrimonial issues kama ndoa?!? Tunazidishaga ujuaji.
Ohooo kwamba Israel karejesha tabasamu la Mama wa watu😂😂😂😂Nakupinga tena kwa 100% unaposema Mjane amerudishwa Tabasamu wakati tunaomjua tokea akiishi na aliyeondoka hapo Ada Estate hivi sasa tunamuona ndiyo akiwa na Furaha, Nuru yake inarejea na hata ule Uzuri wake wa Asili uliokuwa umefunikwa na Mateso na Manyanyaso huku akidharauliwa mno nao umeanza kurejea.
Pongezi kwa Mwonekano wake wa sasa hasa Mnyoo wake kwani umemuongezea Thamani yake maradufu. Mjane ana Tabasamu zuri ambalo Mwanaume yoyote Rijali ukibahatika Kukumbana nalo ni lazima tu utaingia Kingi na Kumpenda kama ilivyokuwa Kwake Mkemia wa Chato. Mjane ni Photogenic sana tena Kuwazidi First Ladies wote wa Tanzania.
Yeah, because I don’t think like you! Very weak!Imbecile.
Ni huyu alikua na dada anaitwa Gati (spelling?) Tuliambiwa ni wajukuu wa Mwalimu Nyerere.Bhoke Nyerere alisoma shule ya msingi forodhani na kuhitimu darasa la saba mwaka 1988.
Cheap minds.Ccm mna akili za kipuuzi sana! Muda wote mnawaza uteuzi tu. Kwani wewe huko kwenu hakuna wajukuu/watoto wanao jitolea katika familia kuwalea bibi/mama zao walio zeeka kama huyo Mama Maria Nyerere?
Sasa iweje kwa huyo Bhoke iwe ndiyo habari ya mjini?
SwadaktaNi huyu alikua na dada anaitwa Gati (spelling?) Tuliambiwa ni wajukuu wa Mwalimu Nyerere.
Yaani mama Nuru umerudi..jamani tyjifunze kuwapenda wake zetuNakupinga tena kwa 100% unaposema Mjane amerudishwa Tabasamu wakati tunaomjua tokea akiishi na aliyeondoka hapo Ada Estate hivi sasa tunamuona ndiyo akiwa na Furaha, Nuru yake inarejea na hata ule Uzuri wake wa Asili uliokuwa umefunikwa na Mateso na Manyanyaso huku akidharauliwa mno nao umeanza kurejea.
Pongezi kwa Mwonekano wake wa sasa hasa Mnyoo wake kwani umemuongezea Thamani yake maradufu. Mjane ana Tabasamu zuri ambalo Mwanaume yoyote Rijali ukibahatika Kukumbana nalo ni lazima tu utaingia Kingi na Kumpenda kama ilivyokuwa Kwake Mkemia wa Chato. Mjane ni Photogenic sana tena Kuwazidi First Ladies wote wa Tanzania.
Yupo wapi BhokeBhoke amezaliwa Canada. Kwa hiyo technically nadhani ni raia wa Canada?
Bhoke ni mtoto wa Anna Nyerere.
Kujua siasa za CCM ndio kuwa na kipaji cha uongozi!!??Vipaji vya uongozi siku zote vinaonekana kwa wajukuu na sio watoto sijui kwanini. Mimi bibi yangu alikuwaga diwani wa CCM huko Tarime na kwa watoto wake sijaona hata mmoja ila kwa wajukuu yupo dada yangu mtoto wa mama mkubwa yaaani ni CCM damu na anajua sana siasa.
Huyo atakuwa ni Kiboko.Yule aliyekuwa Mirembe ni nani hivi!!??
Miss Bhoke Wankyo Nyerere.
Miss àu Mrs?Miss Bhoke Wankyo Nyerere.
Angekuwa Mrs si angetumia jina la mumewe au?Miss àu Mrs?
Jimbo liko wazi ama?Angekuwa Mrs si angetumia jina la mumewe au?
Kabisaa.Jimbo liko wazi ama?
Hapana, ameajiriwa kumlea mama wa taifaNi usalama?