Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Hiyo bia wahuni wanaweza kukupima tezi dume haifaiUkiwa unainywa ni lazima uwe Jirani ( Mkabala ) sana na Chooni lakini pia Toilet Paper isiwe mbali nawe kwani ukiinywa hiyo Shimo Kuu la Dampo kwa Mwanadamu huwa Wazi kwa Kutiririsha ulivyovila pamoja na Viporo vyako vyote tu.