Bia Bingwa imerudi?

Bia Bingwa imerudi?

Ukiwa unainywa ni lazima uwe Jirani ( Mkabala ) sana na Chooni lakini pia Toilet Paper isiwe mbali nawe kwani ukiinywa hiyo Shimo Kuu la Dampo kwa Mwanadamu huwa Wazi kwa Kutiririsha ulivyovila pamoja na Viporo vyako vyote tu.
Hiyo bia wahuni wanaweza kukupima tezi dume haifai
 
Wakuu nimekutana na rafiki yangu Arusha ametoka safarini Iringa amekuta huko bia ya Bingwa akaja na chupa kadhaa. Hii bia kumbe imerudi tena? Ilipotea kitambo sijawahi kuiona.
Bongo bhana !
 
Back
Top Bottom