Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?


We Bana Kula Kulala Tu, Hustle Za Mtaa Unazijua Wap ?? Mahali nimekuona boya eti hesabu ya uber / bolt kwa siku ni 15k ?? Daaah

Wewe hata facts zako zina prove kabisa hujai jitaftia hela mtaani hujui chochote……ninge kuona wa maana unge lay facts hapa 1,2,3 watu wa challenge.

Kwa taarifa yako zipo company za wachina hapa bongo wanawapa vijana gari za kufanya hzo hzo uber / bolt kwa makubaliano flani ma mia ya vijana wana register kufanya nao kazi…..sasa na wao sijui hesabu yao ni 15k per day au vp ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

N!gg@ Please [emoji1787][emoji38][emoji1787]
 

Endelea kudanganya watu humu kwamba biashara ya uber inalipa. Ngoja nikupe elimu mtoto wa mama wa kuskiliza story za vijiweni na kutuletea hapa. Two years back gari ya mkataba kwa wiki ilikuwa 150,000-180,000 service kila kitu juu ya Dereva baada ya miaka miwili gari linakuwa la Dereva na wahindi walikuwa wanakopesha viajana magari. Hii hesabu ilikuwa vijana kibao wanashindwa wanajikuta wanarudisha magari au wananyang’anywa kwa kufeli kupeleka hesabu kwa wakati. Pili gari isiyokuwa ya mkataba ilikuwa hesabu kwa wiki ni 100,000-120,000 kwa wiki service matengenezo ya gari ilkuwa juu ya boss. Pia hapa viajana wengi walinyng’anywa magari kwa kushindwa/kufeli kupelekea hesabu kwa wakati. Vijana wengi waliuza masega ya hizi gari pamoja na hata spare parts au taili ili kupeleka hesabu kwa boss. Kijana unamkuta anaendesha gari inakaribia siku ya hesabu Hela alonayo mkononi haileweki mwisho wa siku wanaenda mpaka kukopa Hela kwenye familia zao ili wapeleke hesabu. Kijana unamkuta anaendesha uber harudi kwao siku mbili tatu mpaka nne anakesha kutafuta hesabu, unaingia kwenye gari unakutana na dereva ananuka hajaoga siku mbili tatu. Kuna kipindi madereva wakaandamana sana pale Leaders mpaka ofisi za Latra kusinikiza uber/bolt wapunguze makato (commission) kwani madereva hawapati kitu na migomo hii ilifanyika Mara nyingi tu mpaka hata uber wakaondoa magari wakabaki kwenye Bodaboda baada ya kulazimishwa na Latra wapunguze commission inamana wewe vyote hivi hukuvisikia?au ulikuwa kwenu kijijini? Kijana kaomba ushauri ana milion10 anataka wazo la biashara ambalo litamtoa kimaisha wewe unamletea habari za uber na bolt!! Angalia sasaiv kuna bajaji ngapi zipo kwenye huo mfumo? Zote zimejitoa kwakuwa hawapati kitu wameamua kurudi vijiweni. Sasaivi vijiwe vya bajaji wanalipia mpaka laki 5 kujiunga. SIKU NYINGINE UKOME KULETA STORY STORY ZA KUSIKIA MTAANI. USIJIFANYE UNAJUA KILA KITU MPE MTU MAWAZO KWA BIASHARA UNAYOIFAHAMU AMBAYO UMEIFANYA. SIO KUANDIKA ANDIKA TU.
 
Kuna brother kitaani kwenu ana maisha ana pesa kinoma,anauza bangi ni mkuriya ana roho mbaya kinyama yaani kukukata panga ukizingua kwake ni sawa na kunywa maji tu.

Huyu brother anajuana na ma askari wa kituo cha kati wanakuja huku kitaa na wanaongea nae vzr bila kumkamata
 
Ww unaemuita mwenzako kula kulala nina uhakika ni mtoto wa mama au toto la chuo halijawai kupambana.

Biashara ya uber kwasasa sio biashara,acha kumdanganya mwenzako kwa kuskia stor za kijinga zisizo na uhalisia kwasasa
 
Kaka utajiri wakupindukia nikufanya biashara ambayo kilamtu anaihofia kufanya, akidhan kwamba itamtia hasara kubwa sana..binafsi naamin hvo, nandio hvo matajiri wanakua wachache dunian maskin wengi..
binafsi nakwama sijapata mtaji.
 

NONSENSE
 
Watu wanalipia dambwe kila mkuu wa kituo, mkuu wa upelelezi au incharge wa difenda anakua na reli yake kwenye vijiwe kadhaa, pale posta jirani na mambo ya ndani juu kabisa kuna kijiwe ukifika kama mgeni unaweza kutoka nduki maana nguo na sura utazozikuta wote namba na dawa inaliwa full-time
 
NONSENSE
 
Hili ni wazo zuri sana kwa mtu asiyeajiriwa. Kwa walioajiriwa wanawezaje kufanya hii biashara? Maana muda unawabana
 
Hii tamu. Mtaji kiasi gani mkuu
 
Aisee wapi huko wanatoa gari hizo na mie nikapige kazi nitokane na ujobless na pia nikutane na pisi kali?
 
Muda ulionao ni mchache sana, kwa mazingira hayo ni afadhali ukatafuta fursa hapo hapo maeneo ya shughuli zako ili uweze kusimamia. La sivyo uache kazi ili ufanye kazi
 
Naunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa unam

Jamaa unamadini sana hasa ya mapambano ya mtaani huku
 
Na
Acha Kaka Basi Tu Vile Nimeweka Kwa Ufupi Sanaa….Msoto Wa Kitaa Sio Poa…..Lazima Uwe Na Roho Ngumu Na Ujasiri Ku Make It.
Kuelewa sana hasa kwenye hivi vyombo vya moto cos hata mimi nimefanya kwa sehemu. Ukiwa na nidhamu unafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…