Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Biashara gani itanitoa kimaisha niepukane na umasikini?

Wakuu, ni matumaini yangu wazima wa afya,

Nijikite Moja Kwa Moja kwenye mada husika. Naomba msaada juu ya biashara gani naweza fanya nikajikwamua katika hali ya chini.

Moja ktk harakati za utafutaji (Udalali), nimebahatika kufikia kiasi kadhaa Cha fedha 10M, changamoto ninayopitia mpaka sasa nimeshindwa kuiendeleza kutokana na kuwa sijajua nifanye biashara gani itakayo zalisha pesa kwa uharaka na bila maumivu makali.

Nimejaribu fatilia baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakilalamikia suala la tozo kuwa nyingi kwenye shughuli zao lakini pia haitoshi nikajaribi ingia kwenye kilimo jambo ambalo linahitaji muda wa ziada na utayari wa chochote ktk kuvuna au kupata hasara.

Natamani sana kufanya biashara na ni ndoto niliyokuwa nayo katika maisha yangu naomba maoni yenu, msaada, connection na elimu pia juu ya biashara.

#MEK
Kwa vle wewe n dalali sio muajiliw wa serikali kwamba muda mwingi upo kazin.biashara nyingi zinafeli kisa hamna usimamizi haupo vzuri.. kwa kazi yko unawez toka kdogo kazini kwenda kuchungulia kdogo kinqcho endelea kweny biashara zko.(side hustle)

UKIZINGATIA HAPO JUU.
1. Unawez tafuta shamba la kukod mkoan ukalim maindi ukaw unakuj kuliangalia maan kaz yko inaruhus kuondok kazn muda wowot

2. Fuga nguruw,ng'mbe nje y mji
3.fungua gesti nje ya mji
4.Bodabod (uber)
5. Chimbo la chipsi
N.k
 
Asante kwa ushauri mkuu napitia maona final nitapata muafaka.
Dalali unamiliki milion 10 umeshindwa hata kununua shamba ukate viwanja vidogo vidogo kisha utumie udalali wako uuze kwa faida???????

Ama kweli penye miti wajenzi hakuna!!!!!!!

Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
 
Hakuna jambo jepesi, ngopa waje kukupa muongozo...
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Asante,nimejifunza
 
Kwa huo mtaji mkuu utatosha,, anzia hesabu za chumba shelves Bado vifaaa na wapi pa kupatia vifaa,, kuagiza au kununua kwa wauzaji wa jumla?
HV unaongea pumba gani am speaking from my experience hzo Ni pesa nyingi oly mzigo atako uweka Hapo iwe Chini ya 17 milion plus Kodi

Mzee njoo pm tukuoneshe tunafanya nn mjini Hapa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nimeamini watu wengi hawana experience na biashara Zaid Sana wanazuona tu wala na kuanza kushauri
Huo mtaji ni mkubwa mno.

Kama upo dar nenda tegeta au jigamboni fungua duka kubwa la mabomba ya maji ya ndani na sanitari zake utakuja kunishukuru

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwakweli hii id kila siku lazima nii-zoom, yaani hata sijui kwanini
 
Hajui Biashara Huyo Achana Nae….Mimi nimeshafanya biashara yani vitu kibao hadi nimedalalia scraper (vyuma chakavu) i seen many things.

Japo bado napambana ila ilifika muda nikiona mtu anaanza biashara yake mahali flani na ku zoom mazingira na ethics za huyo mtu i cud predict huyu mtu anafika mbali au la. Na 90% ya watu nliowa predict wata fail wali fail (Sijisifu ila ni yote kutokana na mitikasi ya ku hustle mtaani yani tafuta sana kujua vitu na misingi bora ya biashara imara ni zaidi ya kupewa mtaji 100M)

Kama kuna kitu namshukuru Mungu ni kuniwezesha kupata mtaji often wa kufanya biashara tofauti tofauti. Aisee i learned a lot.

Ukiona mtu amemiliki utajiri and yupo stable mpe heshima yake. Huyo mtu lazima yuko timamu mnoo mentally and spiritually.
Acha kupotosha watu kijana mm biashara yangu sikuanza na mamilion mkuu

Wacha nisiseme Sana ila pmban na screpa zako mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukifungua duka, sijui mgahawa, sijui pub sijui banda la chips, sijui duka la nguo nakuapia utapoteza hyo hela. Mapemaa Saa 2 Asubuhi.

All u need ni shughuli ya kufanya na kuisimamia wewe mwenyewe ambae 100% utakua una deal nayo chances ukipata 10 M nyingine mara mbili yake tena about 20 M kama hyo ndio utaitumia kufungua biashara nlizotaja hapo mwanzo tena kwa kuangalia na mazingira kwa umakini otherwise uta lost big tym my friend.

Been There Done That, For now usifanye biashara Ambayo Utahitaji Kuajiri Watu Wakusaidie Maana Hao Ndio Pasua Kichwa Watakupiga na Kukuliza, Atleast Not For Now (Kuza Kwanza Mtaji Wewe Mwenyewe) Utapata uzoefu na kujifunza mengi sanaa, Hela Ina Codes Nyingi Sana Mkuu Hasa Mtaani.

USHAURI:

Nunua Bajaj / Gari Used not more that 7 M nyingine save for emergency purposes. Register chombo uber / bolt ingia kazini huku una piga mishe za udalali mbili tatu. Utastirika Sana, Biashara zenye nature ya logistics ndio zinazo waweka sana watu mjini iwe bajaj, uber, pick up, canter, fuso yani hizi japo ni challenge ila atleast mostly kama una deal nazo wewe mwenyewe first hand.

Utanishkuru Baadae.
Hapa ndio kuna ushauri mzuri kwa mtoa mada.
Kama ni biashara anunue bajaji awe anaendesha mwenyewe huku anaendelea kufanya dili za udalali.
Kwa vile dili za udalali haziji kila siku zile siku ambazo unasubiria dili za udalali unapaki kijiweni kula vichwa hapo hautakuwa na stress kabisa maana utakiwa unakula hela pande mbili kwenye udalali na kwenye bajaji baada ya miaka 2 utakuwa mbali sana.
Pia wakitokea wateja wa nyumba au kiwanja utatumia hiyo hiyo bajaji yako kuwapeleka location.
Kama alivyosema jamaa hapo biashara za maduka wewe hazikufai kwa sababu kazi yako sio ya kutulia sehemu moja ni ya kuzunguka mitaani na kwenye masaiti.
 
Mimi nina rafiki yangu alifungua phamarcy kubwa tu tegeta karibu na rabinsinsia stock worth almost 25 M achilia mbali equipments, pc, shelves, rent, mishahara na mengine….hakutoboa miaka 2 akafunga na mkewe ni phamarcist, yani cases ni nyingi sana.

What people don’t know is that wanashindwa calculate estimates za profit margins vizuri + turnovers ambazo ndio za kuja ku cover business obligations na hyo tena ni mpaka mtu uuze sasa imagine mtu kalaza stock ya 25 M mpaka auze ndio aone profit. Wengi wanao toboa town hawategemei retail profits pekee unakuta pia ni whole salers mtu ku flip stock ya 15 M in hours ni kawaida sana kwa wholesale buyers achilia mbali supplies labda uwe na laboratory services hapo hapo…still inawezekana ila ni ujipange sanaa.

Tafuta simple means za ku build capital moja wapo hyo njia nliokuambia then ingia biashara ya kununua na kuuza fixed assets i.e. viwanja, magari etc hizi stocks ndogo ndogo yani labda uje umiliki 70+ M huko tena iwe target yako ni wholesale, kuwa na subra na have determination with your goals and savings.

Sasa wenzako wanaendesha bajaj au uber kwa siku mtu hakosi 40k - 60k net profit kashatoa mafuta…..mwisho wa mwezi ni nyingi sana ukitoa service and parts bado hela inabaki nzuri tu. Sasa wafate hawa biashara za maduka sijui nn follow all the principles uone kama utafunga 500K net profit kwa mwezi. We mpakaa uuze vitu dukani viishe ubadili stock mara kadhaa ndio ikulipe unafanya mchezo nn na hapo ni headache kibao.

Well Ni Mtazamo Wangu Wa Dhati From My Real Experience, Unaweza Upuuza Lakini.
Dah kweli life is not a rehearsal.
Yaani mtu amefungua Pharmacy kubwa nje ya hospitali na bado hakutoboa je uswahilini itakuwaje,biashara ni vita kweli sio kama watu wanavyodhani na kurahisisha mambo.
 
Mie nakuambia fuga mbuzi wa maziwa Kama watano weka na ng'ombe mmoja. Tafuta kijana weka unamlipa 100k. Zitamlipa hizohizo mifugo yako. Halafu endelea na udalali ukipata hela ongeza na nguruwe pia fuga. Hizi biashara hazina kelele ,Hakuna tra kuwa mbona hujamkatia risiti na faida yake Ni kubwa
 
Anza biashara biashara usiogope Anza biashara kutokana na idea yako mambo mengine mbele.kwa mbele Kama balozi dollar soul
 
Back
Top Bottom