Hata mil 50 bado faida ndogo sana. Mtu unazungusha mtaji hauzid laki mbili na kila mwezi mtu anakunja faida mil na ushee.
daaaah hatari, alafu watu akili zinawaruka mana wengine wanamiloss mikubwaJamaa mwenyewe ukimuona kama jambazi
Bank nyingi haizidi 3% so take 3%x2,330,000,000 utapata around 69,900,000 kwa mwaka which is stupidMkuu hili swali Kila siku narudiaga kukuuliza nisamehe kwa usumbufu. Vipi nikiwekeza Sasa hivi 1 m USD kwenye fixed account faida ntapata ngapi kwa mwaka?
Hizi sasa somjoooHata mil 50 bado faida ndogo sana. Mtu unazungusha mtaji hauzid laki mbili na kila mwezi mtu anakunja faida mil na ushee.
Wako 13% sahizi, wadau si walishtukia chimbo 😂😂😂BOT riba zao zimeisha shuka
Bond kitu gani? Sielewagi hiiUtt kuna kuanzia 50K sema bond kuanzia 10M
MzabBond kitu gani? Sielewagi hii
Mkopo kwa serikali ndio unaitwa treasury bondBond kitu gani? Sielewagi hii
Sema mrembo....mambo vipiMzab
Eeh wanakopa toka kwa watu binafai tena? Wakikataa kurudisha mkopa nafanyaje?Mkopo kwa serikali ndio unaitwa treasury bond
Poa,Sema mrembo....mambo vipi
Unayama sanaFaida nzuri ya uhakika ni kununua bond au hisa kwenye nchi zenye stable economy ambazo uchumi wake hauathiriki na siasa, mfano Canada, USA,nchi za emirates, scandinavian countries, uswiss. Pesa yako inakua salama we unakula gawio tu KILA BAADA ya miezi 3.
Za kulenga zipoKuna ist ya 7m. Mkuu?
Kulenga tena...kwani imekuwa tigo hiyo mpaka ulenge🤣🤣🤣🤣Za kulenga zipo
Faida ambayo haina stress lakiniKiongozi kwa hesabu za kawaida ni kuwa; ukiweka 300,000,000 kwa utt inayo toa 12% utapata faida ya shs milioni tatu (3m) kwa mwezi na ukiweka hiyo inayo toa 15% utapata faida ya 3.75M kwa mwezi; bado ni faida ndogo sana kwa hiyo capital; tofauti yake ni kuwa ni nett profit
Siko deep sanaUnajua nini kuhusu elution plant kaka? Give me some brain
MwakaKwa mwaka au kwa mwezi
Cheki dm tuongee mzeeMkuu kuna namba yako uliweka humu haipatikani nina shida na weww