Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Umeamua kuipa likizo akili
 
God bless thee!
Amen amen bro!!

Kuna selfish man mmoja kule kanda ya ziwa anafanya izi mambo na he wont share even an ounce of knowledge but look hapa nimepata madini si haba.
Selfishness is a form of immaturity, we you get to grow, one thing you understand is that maturity is all about helping others. Naamini kila mtu (including me) at a certain point in life alisaidiwa na mwingine, sasa kama watu wote wangebaki selfish na kile walichonacho duh sijui tungekuwa wapi wengine.[/QUOTE]

How long have you been in the field mkuu... Labda nikupe guiding vocabularies ili uflow vzuri zaidi in relation to the field...
It's about 3 years now.

Ntajitahidi kueleza kwa kifupi lkn kwa ufasaha pia;

1. Kota (broker):
Watu wanaanza hata na 1m or even less. How?
Kwa Chunya, maeneo yanayo chimbwa yapo mengi sana na unlike other areas (Kahama,Geita na Nyamongo) mwamba wa Chunya uko very shallow (juu juu) na pia sehemu kubwa ni mwamba laini kiasi kwamba vijana wengi wanaanza na sururu tu kuchimba na kukusanya mawe na hatimaye kuyapeleka kusaga kwny crusher (karasha) na kukamatisha dhahabu.

Sasa kwa vijana km hawa, wewe kota unazama porini kuwafata wanapo chimba na kuongea nao unawawezesha kidogo fedha mfano ya vifaa (sururu nk) au sometimes hela ya chakula kwa makubaliano wakipata mzigo watakuuzia wewe kwa bei flani (ambayo ni ya chini kuliko ya kule soko la broker utapoenda kuuza wewe).

Na huwa ni fedha ndogo tu ya kuwadhamini inaweza isifike ht 100k. Kwa hyo ukipata makundi ya vijana ht matano hv ukawawezesha then ukawa unawabana unapata mzigo (grams kadhaa) na kwenda kuuza soko la broker, inakupa gape zuri la kuanza km kota then baadae ukikua unaweza kujisajili nawe km broker ukawa na ofisi ambapo unaweza kujidhamini kwa ofisi yako ukapewa fedha na dealers (wanunuzi wakubwa) kwa makubaliano ya uwe unawauzia mzigo wako. Hapa ni muhimu uwe na pikipiki kufanya hizi mishe zote.

2. Kuozesha kifusi/rudio/concetrates:
Hapa kuna namna mbili;
a) Uwe unanua kifusi/rudio kwny mialo ya kuoshea dhahabu kwa wale wenye makarasha au
b)Utafute sehemu wanapochimba ufunge karasha ww mwnyw ili ukusanye kifusi/rudio then baadae utaingiza plant kufanya processing kisha elution kuchenjua. Gharama za karasha inacheza kwa ss kati ya 8-9m lkn ukiwa kule field kuna makarasha yamewashinda watu kuyaendesha unaweza pata kwa 3-4.5m na linakuwa kwny hali nzuri sn kufanyia kazi.

Ukianza na ukota utapata connection nying tu sabab unakuwa uko kwny actual field. Utajua wapi kuna mwamba mzuri pa kuchimba/kufunga karasha, utapata kirahisi kujua hayo makarasha yaliowashinda watu nk nk.

Ukiweza kufikia hatua ya kuwa na karasha lako uko kwny hatua nzur sn 'kutoboa'. Kutegemea na sehem ulipolifunga unaweza tumia miezi 4-6 kukuza kifusi cha tani hadi 300. Kwa mfano km rudio lako litasoma 3.5ppm maana yake kwa kila tani 1 unaweza pata hadi gram 3.5 ya gold, kwa tani hzo 300 maana yake (3.5*300tons) = 1050grams = 1.05 kg ya gold ambayo kutegemea na %purity utaweza pata 100m+ km itakuwa 95%+ kwa bei ya ss.
Ofcourse, utatoa gharama za plant, kusomba kifusi hadi plant, madawa na elution. Inaweza fika hafi 30m, so roughly utabaki na 70m flan hiv of which is a handsome amount. Ukifika hatua hii ss ni ww tu kujitanua maana unakuwa na capital ss ya kufanya kazi.

Njia ya kufunga karasha ukifanikiwa ni nyepesi zaidi kwa kuwa linajiendesha lenyewe, hapo wanalipa kila wanapokuja kusaga mawe na pia unaweza kuwa unanunua dhahabu hapo na kwnda kuuza. Cha msingi ulifunge sehem nzuri yenye uzalishaji.
 
Nahisi uliweka sehemu kubwa ya hela ulio nayo. Biashara inatakiwa kukua kidogo kidogo. Hupaswi kuweka mtaji wote kwenye biashara ambayo bado hujui cash flow yake.
Weka hata theluthi ya mtaji, uisome ujue cash flow yake.
 
Fafanua jamani


Madini haya
 

Sumry ni uongo huo

Ali acha watoto wakawa wanaendesha kampuni
Pesa za marejesho hazionekani
 
Faida kubwa za haraka (chap chap). Hii ndio ipo akilini mwa watu wengi wanaofanya biashara au kutaka kuingia kwenye biashara.

KASORO ZILIZOPO.

1. Inaonyesha kabla ya kuwekeza hicho kiwango cha fedha haukufanya FINANCIAL PROJECTIONS sababu hauwezi iita TSH 5,000,000 faida wakati bado haujatoa gharama za uendeshaji.

2. Kama umewekeza zaidi ya Tsh. 300 MILLION na bado unaona ni shida juu ya hiyo biashara. Ni wazi kuwa BADO HUJAIJUA HIYO BIASHARA AU UMEDHARAU MISINGI YA HIYO BIASHARA.

UTATUZI

1. Rudi ubaoni (drawing board) na uichanganue upya hiyo biashara/uwekezaji uliofanya. Kupitia;
(a)Gharama za uendeshaji
(b)Kodi
(c) Bidhaa; je bei ipo sawa (inaweza ku-cover gharama za uendeshaji?)
(d) Kama umewekeza kwenye uzalishaji, jipe muda kabla ya kuaza kuona faida nono unazotamani kuzipata

KAZA MSULI, JIFUNGE KIBWEBWE
 
Mkuu humu si sehemu salama ya kuomba ushauri kuna baadhi wapo real kweli na wanaongea na kushauri kutoka moyoni but kuna watu wa kuvunja moyo.. hivyo sidhani kama itakua vyema ww kureveal biashara unayofanya..

Kuna wengine wapo kwa ajili ya kukosoa tuu kuona uongo kila kitu mtu anachoandika utadhani wanamfahamu sanaa. So nakushauri pitia comments za watu waliochangia uzi wako kuna watu wana ushauri mzuri sana angalia hao nenda DM zao mpeane Abc's za bness huku achia watu watoe nyongo zao maana wengine maisha yana wastress hivyo kukosoa kunawapa amani ya moyo.
 
Siku zote mwanzo huwa mgumu.
Things will go smoothly day by day.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa mkuu.
Nilifahamu huu uwekezaji kwa kuchelewa lakini ni afadhali kuliko nisingejua kabisa.

Mambo ya kujenga nyumba ya kupangisha unaanza kusumbuana na wapangaji kuhusu kodi ya pango, mara kodi ya zuio, property tax unaachana nayo...!
Kuna mtu aliuza ukumbi mbezi beach pamoja na plot ya barabarani akajumua na duka kariakoo akafunga biashara, alitengeneza kama 2.5B hivi yote akaipeleka BOT, ana watoto 7 hela anayogawana nao, yeye na kila mtoto anapata 4M kwa mwezi bila kutoka jasho kwa namna yeyote 😂😂😂! Anachofanyana sahizi ni jogging, gym na kula vizuri tu akicheza na wajukuu😂!

Mie nikipata 1B tu ujue im never going broke again! Yote ni BOT na sitaki shida tena na mtu nakula gawio langu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…