Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Niajiri mimi nikufanyie marketing ila mapenzi sipendagi napenda kazi .
Kama upo serious njoo pm nipo serious .
Hali sio mbaya kwako ila naweza kukusaidia ukapanda kidogo mshaara wangu ni 9 laki tisa
Hutaki mapenzi😲😲😲 y u gotta assume the worst in people?
 
Ningekuwa mimi ningeenda benki kuu ya Tanzania halafu ningenunua treasury bonds za miaka 25.


Kwa hela hiyo hata kama ningenunua za 250m,si hapa ningependa mgao mzuri wa kila nusu mwaka


Kwa 250m,ningepeta gawio zuri la kati ya 25m au 30m kwa mwaka,tena ni tax free,
(kama ntakuwa nimekosea hizo figure nakaribisha masahihisho)

Na baada ya miaka 25,narudishiwa 300m yangu na maisha yanaendelea
 
Umeagana na Mungu?
 
Good analysis
 
Nissan civilian zinalipa sana kwa biashara ya dala dala , wapemba wengi zimewatoa .
Siri kuu ninkuwa tumia nissan kama Big G, ikiisha utamu unatupa!! Usije jaribu kutengemeza nissan.
Lakini sio kwa kununua milioni 50 then utegemee hesabu ya siku elf 80 au laki moja plus service ni juu yako.Hio m 50 itarudi rudi, daladala inalipa kama una vyanzo vingine au ajira,duka la spare,nk.
Coaster mpya inakwenda milioni 70 hadi 80,wengi wamiliki wanazitumia kutakatisha pesa tu au yupo kwenye kamba na hana pa kupeleka pesa. Maana hata kama utalaza laki 1.nusu kwa siku hio M 70 itarudi lini. Wapemba wengi upewa hizo daladala toka kwa ndugu zao nje
 
Word!!!!
Utajiri hauingii nao kaburini, sasa unatafuta hela w na kujinyima halafu unakufa unaacha bank accounts zinasoma b kadhaa na we wala hukuwai kuonjoi pesa yako!
Mabwashee imewacost sana hii miaka ya nyuma ndomaana siku hizi wamefungulia pombe na umalaya kwa pesa wanazotafuta, .
 
Kwamba ukiwa na milion 300 huwez kushindwa kurun bussines [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Kuna watu Wana Hadi billions Ila hawawezi kurun bussines sembuse milion 300
Na hizo pesa anakuwa kapataje cheef? Kama ni za urithi , za wizi au mkopo sawa.
 
Huyo b love mshamba na ana roho ya kimaskini
Wadogo zangu hebu jiongezeni basi. Hizo m300 au B nk unakuwa umezipataje? Za urithi za wizi au mkopo? Kama ume hustle mwenyewe toka inaitwa laki ikiwa million mara zikawa 10 zikawa 100 unakuwa umeshapitia ups an down nyingi ume solve challenge nyingi na unakuwa ushatengeneza connection kubwa na watu tofauti tofauti wenye vipato na fani tofauti tofauti. kiuhalisia hata ukipata hasara unakaa chini na Moja ktk mtandao wako mnayajenga . So jamaa anatupanga tu ila tulopitia situation hizo tunajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…