Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Kutaka kujua namna nilivopata pesa haitokusaidia kitu kwenye maisha yako.

Unatakiwa ujue kwamba ukiwa kwenye chain ya kupata Hela hiyo 300m ni Hela ndogo kuliko unavyoidhania.
 
Kutaka kujua namna nilivopata pesa haitokusaidia kitu kwenye maisha yako.

Unatakiwa ujue kwamba ukiwa kwenye chain ya kupata Hela hiyo 300m ni Hela ndogo kuliko unavyoidhania.
Acha ulimbukeni mwenye pesa kwanza hana akili kama zenu mbuzi nyie
 
Moja ya sifa za masikini ni wivu na hasira za kijinga
Shida ya mjinga huongea ujinga na kulazimisha ukubarike. Broo sifa ya kwanza ya mtu mwenye pesa ni kukomaa kiakili. Ila watoto wa vyuo mlojifungia ndani kipindi hichi cha likizo mkila bure na kupiga master ndo mnatusumbua mitandaoni.

Huwezi pata Billionaire mwenye muda mwingi wa kupost, ku like na ku comment ujinga kama huu .
 
Risk ipoje, na inachukua muda gani hadi kupata mzigo toka uagize?
Muda ni mwezi hadi mwezi na nusu. Sema yeye anaagiza frequently sababu ana mtaji. Kwahio nguo haikati yani full time mzigo upo na haagizi container moja saingine anaagiza hata 5 at a go! Zikija nyingine zinaenda Transit nyengine zinabaki Dar.
 
Vipi risk ya kuletewa mzigo mbovu?
Unanunua kwa Grade mfano yeye anaagizaga grade A.

So likely ya kukuta nguo mbovu ni ndogo sana. Na yeye akija lazma afungue kisha afunge mzigo upya ana mashine kabisa ya ku re-pack mzigo upya kisha anaweka label zake.

Ukinunua mzigo wake huwezi kukuta nguo sijui imetatuka au ina tobo wala viatu vya upande mmoja.
 
Haamini kama kuna raia wana hadi Billion na hawajui wazifanyie nini?
 
Hatufahamiani Sina haja ya kujibu chochote, Cha msingi pambana maisha yako yafanikiwe Ili uachane na makasiriko
 
Logistics walau ila kwenye tender za ujenzi unaweza kula hasara ukabaki mbupu tupu.
 
Kuna connection,kuna madalali na blaa blaa kibao.. Kiufupi hakuna kitu rahisi.
 
Kwa hii faida ya five milioni maana yake kitaalam ni kwamba return on investment (ROI) ni baada ya miaka mitano(5)
Hapa nazungimzuia cumlative cash flow
Hapana itakuwa zaidi ya miaka mitano. Kumbuka hajatoa mishahara kwenye hiyo 5M. Kwa kifupi whatever this guy is doing it's a bad investment; aache mara moja kabla hajalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…