Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Huku mkuu panahitaji maarifa ya kutosha karibia kwenye kila angle!

Kila angle utakayokosa maarifa ndiyo point yako yakupigwa..

Ukimili truck(s) kwanza ni lazima ujue kuendesha , uyajue maeneo physically gari zinakozungukia, ujue namna ya kupata kazi, ujue jinsi ya kuishi na mamlaka na kubwa zaidi ujue manunuzi na mchakato mzima wa maintenance (to keep trucks running)!!!!

Hizo ni baadhi tu ya angle ambazo ukilegea, you will be phased out na ukizimudu utakuwa umeketi kwenye mfereji wa pesa!!![emoji28][emoji28][emoji28]

"TRUCKING NEEDS PASSION"
 
'Ukimili truck(s) kwanza ni lazima ujue kuendesha , uyajue maeneo physically gari zinakozungukia, ujue namna ya kupata kazi, ujue jinsi ya kuishi na mamlaka na kubwa zaidi ujue manunuzi na mchakato mzima wa maintenance (to keep trucks running)!!!!'

Noted with much thanks mkuu.
 
Mkuu hili swali Kila siku narudiaga kukuuliza nisamehe kwa usumbufu. Vipi nikiwekeza Sasa hivi 1 m USD kwenye fixed account faida ntapata ngapi kwa mwaka?
Labda uwekeze kwenye Bank nje ya nchi..
kwasasa bongo utapata hasara tu Tozo na hiyo fixed deposit ukutane na withholding tax.

na katika kipindi hiki inflation inaenda kwa kasi sana ukizingatia watu wanao control uchumi wa dunia wamechacha maa sana kuvuruga mambo kila baada ya 10yrs mara cotona mara vita etc.

Dollar na euro sasa zinaenda sambamba
 
Unapewa Interest rate ya 10% na huku mtaani unakuta inflation kwny bidhaa ziko >10%,hapo Ni kujilisha upepo tu'.
 
Wasomi chakarikeni kuna biashara mitaji midogo sana faida yakutosha tafuteni maarifa yalipojificha msipeane moyo vinginevyo hawa wasiosoma kila siku watawaacha mbali kwenye swala zima la kujiajiri.
Tupe mifano hai ya biashara hizo...
 
Sasa Mimi haka ka milioni Sita kangu nikiwekeza kwenye biashara si nitapata faida elfu Tano?
Imagine mwenzangu umewekeza 300milioni faida ni 5 milioni?
Una uhakika Gani kaweka hiyo!!? Maana Jf HUMU Kila mtu tajiri.
 
Acha uchoyo bana... Inner cycle,, !! Inner cycle ... Badala kuwapa watu mchongo umekazana na inner cycle. Tupe hizo deal tuzijue
Hahahaha secret society...Inner circle ya illuminati,

alièsma kanye west we in this party and no body invited me
 
Nikikupa milion 10 waniletea kiasi gani kila mwezi?
 
Shi
Very few businesses zinaanza na profit lakini eventually after some time zinaweza kuleta faida kubwa.
Na kubaliana na wewe, Shida hapa mwenye Uzi wake hakutuambia type of business hivyo tunashindwa kufanya valuation.
 
I'm not financial advisor lakini ni kushauri tu kwa kipinfi hiki na hali ya uchumi ulivyo kuweka pesa bank means kupoteza hela na sio kupoteza kidogo ni sanaa , haijalishi iwe mobile money/Bank ..
Kwanza unaweka hela ya kufanyia biashara bank ifanye nini?
 
Andika vizuri, msomi wa iaa Arusha ..ili utupe elimu sisi tusiojuwa Bond ni nini!
 
Nikikupa milion 10 waniletea kiasi gani kila mwezi?
Mzee kwanza unayobiyo ela ama unajiongelesha tu apa kujifurahisha kama unayo na unahitaji biashara kweli nitafute tutae chini tukubaliane tuandikishane tuweke makubaliano alafu mwezi mmoja ni grace period lakini mwezi wa pili unaanza kupokea kiasi tutakachokubaliana bila wasi wasi mzee wangu na wewe mwenyewe utarudi apa jukwaani kutoa ushuhuda mzee ninachokwambia nakijua na ndo biashara ninayoifanya ila mimi mtqji wangu bado ni mdogo sana ndo najikusanya kuangalia kimtaji changu kikue mkuu ila kama unayo iyo ela na ungependa kuiwekeza basi iwekeze kwangu serious hutojutia naongea kitu nachokijua ila wewe wa mzee
 
Unajua nimecheka

Kula mshahara raha jamani

Kwenye biashara kuna hela ni unajikopesha na irudi Kama ilivyo

Saa nyingine Bora kuajiriwa tu
Watu wanachanganya sana kati ya
aina za Uwekezaji, Biashara ,Kuajiriwa na kujiajiri...!

Sio kila Biashara ni Biashara, nyingine ni ajira (kujiajiri) tu
imagine umejiajiri hujilipi mshahara ,huna likizo,huna bima , hujilipi mshahara unaoeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…