Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Huu ndio uhalisia, mleta mada anatuletea hadithi za sungura na fisi.Biashara niloanza nayo ni ya mil10.8
Ilikuwa inanipa faida ya 1.6 au 1m net profit kila uzo, ko kwa mwez mida mingine mpaka mil3
Japo nilipewa frame na stoo bure