Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Thanks bro, kwangu huwa naamini mafanikio ni ile hali ambayo nimefika naweza kufanya wengine wakafanikiwa pia japo kwa kuwapa taarifa/ushauri juu ya kile ninachoweza kuwasaidia.

Back to the topic;
Kuhusu man power kama utaweza pata wasomi (professionals) ni nzuri zaidi lakini kwa uzoefu hizi kazi wanaofanya wengi ni form four leavers tu ambao wamejifunza na kupata uzoefu.

Japo wana weakness zao kwny kazi kutokana na kutokuwa na uwezo wa kupambana na changamoto mpya, mostly hizi kazi ni repeatitive in nature kwa hyo inawezekana katika muda wote aliojifunza kazi hakukutana na aina flani ya changamoto hivyo simply anakuwa ignorant kwny eneo husika.

All in all wanafanya kazi vizuri especially ukikuta aliyemfunza alikuwa vizuri na muhusika pia ni mtu wa kujiongeza na muaminifu pia maana hizi kazi vijana wengi wanaangukia kwny tamaa ya wizi. Ila kwa hali ya sasa bado unaweza kuwadhibiti through means km vile cctv cameras.

Watu hasa utaohitaji kuwa nao ni:
1. Mchomaji wa dhahabu
2. Vijana 4-8 kwa ajili ya kupakia na kushusha cabon, kufanya usafi etc
3. Mpishi (salary 150k - 200k per month)
4. Mlinzi (mostly ni wamasai) - around 150-200k per month.
5. Obvious itaongezeka gharama ya chakula cha kila siku from morning to evening (atleast 3 meals)

Hao #1&2 unaweza kuwalipa mshahara kati ya 250-300k per month then kila ukishusha mzigo unawapa posho lets say 20k each. Na miongoni mwao unateua supervisor wako hapo, kama hauko karibu unaweza kuwa na Manager pia kwa ajili ya kusettle issues za kiserikali na hizo agencies zingine wanapofanya visit au km kuna changamoto yoyote.
Thanks bro, kwangu huwa naamini mafanikio ni ile hali ambayo nimefika naweza kufanya wengine wakafanikiwa pia japo kwa kuwapa taarifa/ushauri juu ya kile ninachoweza kuwasaidia.

Back to the topic;
Kuhusu man power kama utaweza pata wasomi (professionals) ni nzuri zaidi lakini kwa uzoefu hizi kazi wanaofanya wengi ni form four leavers tu ambao wamejifunza na kupata uzoefu.

Japo wana weakness zao kwny kazi kutokana na kutokuwa na uwezo wa kupambana na changamoto mpya, mostly hizi kazi ni repeatitive in nature kwa hyo inawezekana katika muda wote aliojifunza kazi hakukutana na aina flani ya changamoto hivyo simply anakuwa ignorant kwny eneo husika.

All in all wanafanya kazi vizuri especially ukikuta aliyemfunza alikuwa vizuri na muhusika pia ni mtu wa kujiongeza na muaminifu pia maana hizi kazi vijana wengi wanaangukia kwny tamaa ya wizi. Ila kwa hali ya sasa bado unaweza kuwadhibiti through means km vile cctv cameras.

Watu hasa utaohitaji kuwa nao ni:
1. Mchomaji wa dhahabu
2. Vijana 4-8 kwa ajili ya kupakia na kushusha cabon, kufanya usafi etc
3. Mpishi (salary 150k - 200k per month)
4. Mlinzi (mostly ni wamasai) - around 150-200k per month.
5. Obvious itaongezeka gharama ya chakula cha kila siku from morning to evening (atleast 3 meals)

Hao #1&2 unaweza kuwalipa mshahara kati ya 250-300k per month then kila ukishusha mzigo unawapa posho lets say 20k each. Na miongoni mwao unateua supervisor wako hapo, kama hauko karibu unaweza kuwa na Manager pia kwa ajili ya kusettle issues za kiserikali na hizo agencies zingine wanapofanya visit au km kuna changamoto yoyote.
Mkuu una madini, uko kwenye hii game nini?
 
Bank labda kama ya babu yake😀😀bank ni profit organisation ipo kumake doh sio kusaidia mtu , fixed account wanalipa pesa ndogo sana
Bank ni wanyonyaji mno bora hata kwenye bond huko
 
Achana na hicho unachokifanya
SCALP
NASDAQ, DW, US30, XAUSD
million 300 ni sawa na dollar 120000 hv
Ukikaza, hiyo million tano unapata kwa siku
Lakini hiyo shughuli yake kwanza, kwanza n'cheke
Kwahio hela kuchoma account forex ni majaliwa😂😂😂 hata akifungua position 10 za gold kwa lot size ya 3
 
hii kitu iliwah kuniliza nikamshikia mtu panga police wakaamulia... 20m zilipotelea makongorosi, kama isingekuwa shule nilikuwa naadhirika...sipapendi chunya daaah
Hapo nina wanangu wana mashimo wanajaza vifusi tu😂😂😂 nataka niende by december nikasome upepo
 
hii kitu iliwah kuniliza nikamshikia mtu panga police wakaamulia... 20m zilipotelea makongorosi, kama isingekuwa shule nilikuwa naadhirika...sipapendi chunya daaah
Kwenye madini watu wengi wanaingizwa mkenge hao wakina ferooz, idris sultan wote hao wamefirisika kwa kuingizwa mkenge, watu mgodi wanaujua vizuri wanakupa kitalu wanachojua utachimba miaka yote hautopata kitu utaishia kuingia costs tu😀😀na utauza kila kitu ukiamini utatusua one day
 
Tuweke mambo sawa, maana naona wajuaji wamekuwa wengi kidogo.
Huu mtaji niliowekeza sio kwamba nimefeli japo mambo yamekuwa kinyume na matarajio yangu.

Lengo langu lilikuwa kuwekeza mtaji zaidi ya huu, huu ndio mwezi wa wangu wa kwanza kwenye biashara naendelea kuona mavuno ya mtaji nilioweka Ili niamue kuongeza mtaji au la.

Nimeshindwa kufunguka zaidi baada ya kuona kuna ujuaji mwingi Tena Kwa watu ambao hata biashara hawaijui. Kila nyuzi wao wanajua ni uongo wa kutunga au chai, wao wakiona nyuzi ya 300m+ wanajua ni story za kusadikika

Anyway tuwe na usiku mwema, na niwaombee muwe na mapambano yenye baraka
 
Mwaga madini mkuu
Tuweke mambo sawa, maana naona wajuaji wamekuwa wengi kidogo.
Huu mtaji niliowekeza sio kwamba nimefeli japo mambo yamekuwa kinyume na matarajio yangu.

Lengo langu lilikuwa kuwekeza mtaji zaidi ya huu, huu ndio mwezi wa wangu wa kwanza kwenye biashara naendelea kuona mavuno ya mtaji nilioweka Ili niamue kuongeza mtaji au la.

Nimeshindwa kufunguka zaidi baada ya kuona kuna ujuaji mwingi Tena Kwa watu ambao hata biashara hawaijui. Kila nyuzi wao wanajua ni uongo wa kutunga au chai, wao wakiona nyuzi ya 300m+ wanajua ni story za kusadikika

Anyway tuwe na usiku mwema, na niwaombee muwe na mapambano yenye baraka
 
Tuweke mambo sawa, maana naona wajuaji wamekuwa wengi kidogo.
Huu mtaji niliowekeza sio kwamba nimefeli japo mambo yamekuwa kinyume na matarajio yangu.

Lengo langu lilikuwa kuwekeza mtaji zaidi ya huu, huu ndio mwezi wa wangu wa kwanza kwenye biashara naendelea kuona mavuno ya mtaji nilioweka Ili niamue kuongeza mtaji au la.

Nimeshindwa kufunguka zaidi baada ya kuona kuna ujuaji mwingi Tena Kwa watu ambao hata biashara hawaijui. Kila nyuzi wao wanajua ni uongo wa kutunga au chai, wao wakiona nyuzi ya 300m+ wanajua ni story za kusadikika

Anyway tuwe na usiku mwema, na niwaombee muwe na mapambano yenye baraka
Mjomba biashara gani unafanya? Maana kuna vitu unaficha
 
Yap benk nyingi 100mil kuendelea ni 10% kwa mwaka
Hiyo ilikuwa kitambo kidogo. In the last two years, rate imeshuka kufikia 7-8% only. Nyingi wanacheza na 7.5% kwa mwaka kuanzia investment ya mil 100 kuendelea (CRDB, NMB, etc - fixed deposit). Ila kama huna uzoefu na biashara au huna msimamizi mzuri kwenye biashara, na hiyo pesa huna kazi nayo immediately, hii bonds na fixed deposits ni safe investment
 
nenda mzee kasome ramani....hela yangu ilizama bana sema ntakuja kurudi tu ngoja nijipange...kule kuna makatil na watu wenye roho mbaya biila kukaza hutoboi....na panahitaj hela mingi pia
Jamaa mwenyewe ukimuona kama jambazi
 
Back
Top Bottom