Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Mkuu mara nyingi nimeona watu wakizungumzia hii bond za serikali,je hii imekaaje hiyo interest inalipwa kila mwaka au Kwa muda wote wa uwekezaji wako na je huwa ni Kwa muda gani?
Kwa sababu Kwa hesabu hapo ni 45m je ni kama Kwa mwaka ni sawa na 3.75 m Kwa mwezi which is good money Kabisa Tena bila hustles zozote
Kwa miaka yote, 15-25 kulingana na mkataba.
 
Wameshusha kutokana na janga la vita sio matajiri kuamishia mzigo huko maana vita ilipoanza tu nao wakapunguza interest zao, mbali na hivyo BOT &UTT wenyewe wanatamani elimu hii iwafikie wanachi wengi sema hata ikiwafikia bado ni kikwazo kwamaana bonds utazifurahia, ukiwa na mzigo mrefu hata ukiwa na mzigo mrefu pia kimbembe kipo kwenye kupata coupons hasa za BOT sio kitu rahisi kihivyo, mnada ukitangazwa watu wengi wanabid hii imepelekea washiriki wengi wanakosa, let's say serikali inataka kupata bl 20 tu lakini utakuta washiriki wanajitokeza kuikopesha serikali wanafikisha mtaji wa bl 100 wachache wanapata tena hao wachache utakuta wamebid kiasi kikubwa yaani wamenunua coupons kwa bei ya juu, all in all hata ukikosa mnada mwingine ukitangazwa unashiriki mpk unapata, ni muda mrefu bonds za BOT plus za UTT zimekuwa ni bonge moja la mchongo kwa waliosanukia mapema na ambao wanaoendelea kusanuka kwa maana sio kila mtu anamisuli ya kufanya biashara, faida yake ukiwekeza huko unapata faida bila misukosuko huku ukilinda mtaji wako, na kizuri zaidi serikali zote zinakopeshwa na wanachi wake sio Tanzania tu bali worldwide kutokana na ufinyu wa bajeti hivyo bonds zitaendelea kuwepo tu.
Kwa watu wenye B au zaidi ni sehemu nzuri ya kupumzishia hela
 
Uzuri wa humu kuna madini mazri sana, ila nachojua ni watu tufanye biashara za faida na tuache utani, mtu mwinginge anauza imradi ashike hella mingimingi
 
Milioni 300 ukiamua kuitunza na kutumia kila mwezi 2M maana yake utakula maisha bila stress kwa miaka 20 ijayo. Sijui umri wako ila kama umri pia umeenda, kwa next 20 years maana yake utakuwa umekaribia kumaliza siku zako za kuishi. Kuja pesa ikakata, na wewe siku zako zinakuwa zinaelekea kukata. Yaani hapo ni kula 2M kwa mwezi bila stress za hii dunia. Maisha ya hapa Duniani ni kuchagua tu, maana utajiri hauingii nao kaburini. Kwanini kujipa stress ufe mapema?
[emoji38]Wewe ndo umeongea sasa[emoji1474]. Maisha ndio haya haya pesa tumezikuta tutaziacha
 
Umeona ee. Mpaka unakamata 300 hata akili inakuwa ishakomaa hebu review thread's zake angalia akili yake.
Nadhani utakuwa "ke" kama nimekosea basi naomba uniwie radhi.

300m unaweza kuziona nyingi Kwa vile hauko nazo, ukiwa kwenye chain ya kumiliki pesa utagundua hizo 300m hazitoshi hata kujenga nyumba ya kisasa ya ndoto yako Kwa kipindi hicho

Kwa vile hii ni forum na hatujuani usitoe mawazo ya kijumla kama vile unafahamiana na huyo mtu

Nikuhakikishe tu kwamba hii pesa sio ya mkopo ni sehemu tu ya kiasi nilichoamua kuwekeza kwenye hii biashara mpya ambayo Bado haijatoa return nzuri
 
Biashara ina mambo mengi Sana mkuu,usione wenye vituo vya Mafuta walikua wanafanya Mpango Mafuta yanaonekana ni ya transit kumbe yanauziwa humu humu nchini,wanapiga hela kichizi unaona tu mtu anafungua vituo vya Mafuta kila siku.

Tafuteni maarifa mkuu.

Nb:Sijasema mkwepe Kodi mkuu.

Ukweli ni kwamba huwezi kutoboa kwenye biashara bila kukwepa kodi/kukandamiza wengine/kufanya ulaghai na/au kupewa exemptions na serikali either by lobbying au illegally. Huu ndo ukweli halisi wa biashara zote duniani hasa kwenye hatua za awali.

Hapo ndo unasikia kuna watu walikua wanaiba mafuta bdae mnasikia wana vituo vya mafuta nchi nzima; wengine wametorosha madini hadi basi bdae ndo wanaanza kusafirisha rasmi, wengine hawalipi kodi nk nk. Ni lazima utafute kwa njia za panya halafu utakatishe hizo pesa. Learn it. Do it. Utatoboa.
 
Biashara gani umeweka pesa yote hiyo na return hiyo
Pesa uliitoa wapi labda ? Urithi? Bettings ? Nina uhakika sio servings za mshahara!
Kosa kubwa unaweza fanya kwenye biashara ni kudhani kuwa pesa inazalisha pesa ,
Commitment na pesa ndo unaweza work your way up na kutengeneza pesa .
Big point broh una kitu cha kipekee.
 
Vizuri sana ndugu,pambana hivyo hivyo utakuja kuanza kupata faida zaidi ya hiyo unayopata Sasa, biashara ni uzoefu,maarifa na uvumilivu pia.
Binafsi Kwa hiyo pesa Kwa kutumia maarifa na uzoefu wangu wa biashara mbalimbali,naweza tukafanya biashara Kwa ushirikiano na wewe na tukawa tunapata faida zaidi ya hiyo unayopata,hapo tumeshatoa gharama za uendeshaji wa biashara.Yaani tunapata net profit (faida halisi)sio gross profit(faida ya jumla).
Ukiwa tayari kupanua miradi mingine kupitia biashaara zingine tuwasiliane ndugu.
Kila kitu kitakuwa wazi na utaelewa tunapataje faida japo ya 2% Hadi 5 % Kwa mwezi.
Itategemea na mwezi husika biashara imeendaje ila haitashuka chini ya
2% Kwa mwezi kama faida(hapa uhakika)
Karibuni.
 
Kumbe ndio umeanza. Biashara inakua mkuu. Huwezi kuanza tu halafu mwezi huo huo upate faida kubwa. Tena una bahati kupata hata hio faida ndogo. Muhimu komaa tu utaona matunda yake.
Ni kweli, halafu faida unaanza kuihesabu pale ambapo
Ili uiite ni Faida, toa kwanza matumizi yote(mishahara, tozo zote za nchi, gharama ya uendeshaji).

Hongera sana kwa uthubutu, mwanzo mzuri usitake kupata faida nyingi kwa wakati mmoja, kila kitu kina hatua ili kifikie sehemu fulani.

Ipe muda na imanage kwa nguvu zote itakubali tu.
Faida bado sana , faida ni pale ambapo atapata m 300 plus hii itachukua zaidi ya miaka 5 kama atakuwa akikusanya 5 m kwa mwezi
 
Kuna mtu aliuza ukumbi mbezi beach pamoja na plot ya barabarani akajumua na duka kariakoo akafunga biashara, alitengeneza kama 2.5B hivi yote akaipeleka BOT, ana watoto 7 hela anayogawana nao, yeye na kila mtoto anapata 4M kwa mwezi bila kutoka jasho kwa namna yeyote [emoji23][emoji23][emoji23]! Anachofanyana sahizi ni jogging, gym na kula vizuri tu akicheza na wajukuu[emoji23]!

Mie nikipata 1B tu ujue im never going broke again! Yote ni BOT na sitaki shida tena na mtu nakula gawio langu tu
Hi Ina mzuka sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Unapeleka hela hio bank wao ni wakala wa bonds wanazinunua BOT wanawauzia wateja wao. Kiasi utakachoingiza kwenye bonds unakuwa unapewa gawio kwa asilimia kadhaa kila mwaka. Kwa sasa hao UTT ni 12% ya hela yako kwa mwaka. Bonds ziko miaka tofauti kuanzia 10-15-25 wewe tu utataka hela yako ikae muda gani.

Hio miaka ikitimia unapewa hela yako kama ilivyo kama uliweka 200M utakabidhiwa bila kupunguzwa hata sent 5, hamna mambo ya makato kwenye bonds unakula faida kama ilivyo.
Broo Extrovert umenikumbusha mbali San jinsi unavyodadavua somo la government bond umenikumbusha mwalimu wangu wa financial management nikiwa iaa Arusha pale ticha Yuko nondo mbaya na Uzi na wew umeifa sna ktk Bondi nafurahia mno somo unaloleta humu

Hkk nimeamini humu ndani Kuna watu Bado San hawajui kitu mpk mtu anauuliza bond Ni kitu gani na inafanyaje Kaz duh Kaz kweli ndio maan wanalalamika kila siku kuhusu biashara z mafrehemu na majumba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Broo Extrovert umenikumbusha mbali San jinsi unavyodadavua somo la government bond umenikumbusha mwalimu wangu wa financial management nikiwa iaa Arusha pale ticha Yuko nondo mbaya na Uzi na wew umeifa sna ktk Bondi nafurahia mno somo unaloleta humu

Hkk nimeamini humu ndani Kuna watu Bado San hawajui kitu mpk mtu anauuliza bond Ni kitu gani na inafanyaje Kaz duh Kaz kweli ndio maan wanalalamika kila siku kuhusu biashara z mafrehemu na majumba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahahah Elimu ni tatizo sana kwa raia wengi nchini.
 
Upo vizuri mkuu nimesoma kila kituo...wewe inaoneka ni mshauri wa biashara.
Mi nina tatizo natamani nilianzishie uzi japo watu watasema ni chai.naomba nishauri hapa hapa
Mkuu mimi biashara yangu nimeanza 2020 mwezi dec ndo mzigo wangu wa kwaza kuingia.
Ki ukweli sijawahi kopa nimekisanya mtaji kidogo kidogo.
Mpaka sasa hivi biashara mtaji wako sio mkubwa ila mzunguko ni mkubwa sana.
Yaani kwa wiki 1M kawaida inategemea na mzigo ulioko dukani.maana miziho inakuja na kuomdoka tatizo langu ni hivi
1.kwa kuwa bado nahitaji kukuza mtaji basi nimekua mtu wa mawazo na usingizi kukata yaani silali.mwanzo hapo kati hata jf nilikua siingii ila sasa hivi naingia kupoteza mawazo..
Yaani nawaza sana kuliko kipindi sina ela.yaani mawazo yangu nikiinza lki nataka laki mbil..yaani siridhiki..sion faida saa ingine
Swali langu hivi kuna siku utafanya biashara ufikie hatua relax kweli au ni mateso tu
2.hivi wafanya biashara wakubwa pesa zao wanaweka bank kwwli?
Nimekuelewa mkuu...

Hapo kwa haraka haraka tunene mawili yaliyo mbele yako... mengine kunapo uzima tuta tafutana kwingineko tutateta kwa upana zaidi.

La kwanza...

Concept ya neno mauzo...
Navyofaham kidogo kuhusu hili ni kua jumla ya mauzo na uwiano wa faida inategemea na aina ya biashara, kuna baadhi ya biashara mauzo yanaweza kua makubwa sana kwa siku, week ama mwezi ila faida ikawa kisoda.

Most ya aina hii ya biashara huwa ni biashara ya bidhaa. Biashara ambayo yakupasa kununua kitu kisha kuuza kitu. Either baada ya kukiongezea thamani au kwa kuki'import sehem ambapo bidhaa huska hazipatikani. Hapa utakuta wanunua bidhaa husika kwa 100 kisha wauza kwa 120.

Na ni aina hii ya biashara ambayo mara nyingi huwa ina mzunguko mkubwa. Ingawa mzunguko mkubwa unategemea mahitaji ya watu walio eneo unalofanyia biashara.

Vile vile biashara inaweza kua na mzunguko kidogo ila ikawa na faida kubwa. Na aina hii ya biashara mara nyingi ni biashara upande wa huduma.

Kwa mfano, kreti la soda linauzwa 9,800/-. Zipo 24. Ukiziuza kwa jero kila moja kreti zima litakupa 12,000/-. Faida ya kama 2,200 hivi kwa kreti. Ili kupata ef 10 nje ya mtaji itakubidi uuze kreti walau 5. Hapa ndipo tunasema mzunguko mkubwa faida kisoda.

Upande wa pili kuna boda boda, safari ya kutoka "X" to "Z" ni 20k, huyu mteja mmoja tu kapata faida zaidi ya mauzo ya kreti tano za soda. Hapa ndipo ilipo ile maana yangu ya mzunguko mdogo ila faida kubwa.

Kwa ufupisho huo kuna picha tunaipata juu ya mahusiano ya mauzo na faida inayopatikana. Kwamba sio kila kwenye wingi wa mauzo kuna faida kubwa au kwenye uchache wa mauzo kuna faida ndogo. Ukubwa au hasa wa faida unategemea unafanya biashara ipi.

Pili tuje hapo unapokosa utulivu...

Hali hiyo nadhani haipo kwako tu, hilo ni janga la kila mtu pale anapokosa udhibiti from within. Kikubwa jaribu ku'control your desire, usiishie kutafuta wingi wa pesa tu maana hauna kikomo ule. Unaweza pata hata trillions dolali ukakosa utulivu kama hauna kiasi kwenye nafsi yako. Bali tafuta wingi wa pesa wenye kukidhi mahitaji ama malengo yako.

Ukiweza ku'control your desire, utauona utulivu unakuijia automatically. Afya yako ina thamani sana. Usiruhusu msongo wa mawazo uitafune na kuiporomoa.

Na kuhusu kama wafanya biashara wakubwa hutunza fedha bank au Laa.

Hapa nikujibu kwa experience kiasi niliyo nayo. Katika jamii ya watafutaji kuna watu wa aina mbili. Traders na Investors. Haya makundi mawili yana character za kipekee kwa kila kundi.

Hilo kundi la kwanza most ndio hujali bank wana kiasi gani. Ila kundi la pili hujali hupendelea kubadilisha fedha kua assets zenye kutunza thamani.

Nakutolea mfano mdogo, bwana 'P' kaweka Mil 500 bank mwaka jana. Alionelea ni better aweke savings za biashara yake katika Euro(huu ni just mfano tu) wakati huo Euro ilikuwa 2800, leo hii anaitaka savings yake ya biashara afanyie mambo mengine.

Lakini anaenda kuichukua akiba yake wakati ambao euro ni 2,400. Drop ya kama 14%. Maana ake ataenda kuchukua Mil 430 approx. Loss ya value karib Mil 70. (Exchange rate figure zinaweza zisiwe hundred percent correct) so hapa grasp the concept tu inatosha.

So kuhusu kua wanatunza fedha bank au laa inategemea na mindset ya mfanya biashara husika. Wengine hupendelea kuona wingi wa cash kwenye account zao. Na wengine ambao hata mie nawapenda zaidi wale ambao huzitumia hizo cash kuongeza assets kwenye biashara zao.

Nisamehe kwa gazeti refu na kama nimekujibu nje ya ulichouliza sorry pia!
 
Back
Top Bottom