Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Ndio vinakuwaje hivyo, naomba picha yake kama utojali
Juice ya miwaWataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Good advice, na pastrie ndo mmFungua bakery..!
Hii nayo nzuri sanaIla mm naweza kukushauri kingine kama unaweza fungua kiwanda cha hizi. Over coat, over roal, das coat, ma uniform kazini. Yani huduma nzima ya tailoring. Naona industry yake ina soko so mchezo View attachment 3153007View attachment 3153007View attachment 3153008
Unaujua mtaji wa kiwanda cha maji au unaropoka tu?Deal na vyakula na vinywaji zalisha hata maji kwenye eneo dogo sambaza au mikate
BB na BC ni niniKuna hizi kopo za juisi take away. Zile sahani za take away. Pia bahasha zina masoko sana hizi lakini pia kwa nn usiwe na mkakat wq B -B yani wholesaling. Mana biashara zinasostrugle ni zile zinazouza kwa watumiaji B-C
Mtaji wa kiwanda Cha maji ni simple sema inategemea na ukubwa wa RO. BTW nimefanya kazi kwenye kiwanda cha kuchakata maji safi.Unaujua mtaji wa kiwanda cha maji au unaropoka tu?
Tafta maziwa ya kutosha uanze uzalishaji wa yoghurt ns ice creamWataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.