happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 604
- 1,970
Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.