Bashite hakuwahi kutoa maagizo ya utopolo kuvunjwa miguu hela za wauza magodoro musoma na dodoma ziliambatana na maelekezo maalumu, wachezaji wa 5 waliumizwa katika hizo mechi MBAZO WALEZI WAKE NI WA KUWACHEKA TU..MMOJA NDIYE HUYU TEAM YAKE HATA KUPATA PASSPORT ALISHINDWA KUWASAIDIA LEO WASHATOLEWA CAF WANASUBIRI RUNGU ZITO..MWINGINE UWANJA WAKE UMEKONDEANA KAMA UNA KWASHIOKOR WANATOA MAMILIONI HATA KUMWAGIA maji UWANJA WANASAHAU
usisahau polisi moshi walivyolalamika baaada ya mechi yao na simba kuahirishwa, wale dau lau lilikuwa kubwa sana sababu zilitakiwa zipigwe kung fu za kutosha ili mechi ya marudianona wa botswana simba wawe wanauguza majeraha tu,baba anayehangaikia nafasi nne zinazopotezwa na wapumbavu anafanyiwa hujuma ya kuvunjwa viungo vya mwili