Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wapo na timu kimaslahiIshaisha issue CAf wamekataa utetezi wa kijinga, walikuwa na week nzima ya kwenda hata kulia serikalini ndege ya mkopo ila walikaa kimya wakimsikilizia mlezi wao ambaye yeye anapata milions 15 za kuvunja miguu mastaa wa simba toka kwa wauza magodoro
ATCL hawana vibali vya kutua mechi inakochezwa, walishughulika navyo naona mambo yalibumaRaisi wa Burundi alipewa ndege yetu kama usafiri...ajabu timu yetu wawakilishi kimataifa hawajapewa wala kusaidiwa chochote.
imebuma mechi ni saa mbili usiku leo pre match meeting ishaisha, saa mbili hao wajinga wa musoma wanatakiwa wawepo uwanjani Benghazi la sivyo miaka 2 ban na faini nzito inawahusu tangu jumatatu walikuwa na nafasi ya kuongea na serikali kuhusu ndege hata kukopa au wangechangisha hela ya mafuta, usije kukuta wamekula hata hongo ya waarabu hawa viongozi njaa
why?TFF AND IT'S LEADERS SHOULD RESIGN URGENTLY
Nje ya mada.Nyau wanachekesha sana, wanasahau wao ndo waasisi wa kutoa bonus za kukamia mpinzani (rejea makonda kutoa 20m) leo akitoa mwingine ni ametumwa na wananchi awavunje miguu hahahahaha
Jasho linapotea linapotea hahahaha kwamba alitumwa
Msimu huu mtatoa kila aina ya visingizio, ubingwa hamchukui! Tatizo mmeanza mapema sana mpaka ........!Ushahidi siyo? yule beki wa prisons Benjamin asukile kamuulize kilichomkuta baada ya kusema ukweli.....nyie ahadi mkitaka toeni tu hata za kuwapakiza kwenye space shuttle za kuwapeka International air space au mwezini poa tu ILA UJINGA NI KUTOA MALEKEZO YA KUVUNJA VIUNGO VYA WACHEZAJI WA SIMBA KAMA VILE ILIVYOTAKIWA KUFANYWA NA POLISI FC ILI SIMBA WATOLEWE NA WA BOTSWANA
Lugha imekuwa ngumu kidogo kwangu ila nimepata mtu kanitafsiria umesema ukweli kabisa TFF inasaidia timu gani ndani ya nchi?TFF AND IT'S LEADERS SHOULD RESIGN URGENTLY
KAMA tuzo mmelia tff wanaipendela simba na faini ya CAf mkadai caf wote ni simba subirini round 3 toka sasa uje unikumbushe hii kauli yako, mtatoa sana maelekezo ya watu kuvunjwa miguu na shingo lakini piga ua ,subirini kupewa ride champions league mkatie tena aibu, ungrateful foolsMsimu huu mtatoa kila aina ya visingizio, ubingwa hamchukui! Tatizo mmeanza mapema sana mpaka ........!
Mwijaku sio saizi ya Bugatti,Mwijaku levo zake Baba levo,Aristote,juma lokole na mbuzi zingine huko...Manara is the next,mashabiki wa Simba wenye akili washaanza kumkataa Mwijaku we unamtetea sijui sijui ubwabwa mwenzie.NAONA UMEWEKA EMOJI YA KUREMBUA MACHO ,MIWJAKU NDIYE SAIZI HALISI YA LOPOLOPO LENU AKICHOKA KUNA SUB YAKE YA DR KUMBUKA AMBAYE ATAMKUMBUSHA MSUKULE KUSAFISHA MIMENO MICHAFU ILE
JITU LINAKAZANIA MO AU CEO WAMJIBU, HANA HADHI HIYO HATA KIDOGO
Inasikitisha sana yaani leo hii ati Mwijaku ndo anategemewa na nyinyi Makolo FC leo hii[emoji16][emoji16][emoji16]..KUSHNEYYY umbwa nyieDemu Tuliza mshono shughuli ya kiumeni hii
Wabongo msikalie kulaumu tu. watu walipambana na ndege ya kukodi ikapatikana air Tanzania.
Bahati mbaya ndege zetu hazina permit ya kutua nchi husika bano wanaendelea na mchakato wa kibali.
Tiefuefu ipi?Lugha imekuwa ngumu kidogo kwangu ila nimepata mtu kanitafsiria umesema ukweli kabisa TFF inasaidia timu gani ndani ya nchi?
Francis braza alifanya la maana kuwakimbia hao wehu, nitashangaa sana kuona wachezaji kama Nkane wakibaki hapo au yule kipa ssetuba