Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaongelea ubwabwa? unamjaua mzee tozi wewe??sasa siyo mwijaku tu ,gigy money na dr kumbuka pia wanaingia week hiiMwijaku sio saizi ya Bugatti,Mwijaku levo zake Baba levo,Aristote,juma lokole na mbuzi zingine huko...Manara is the next,mashabiki wa Simba wenye akili washaanza kumkataa Mwijaku we unamtetea sijui sijui ubwabwa mwenzie.
usifananishe simba na wajinga wasiojua raha ya kula hela za CAF za makundi na robo fainaliMo alisikika mara kwa mara kupoteza mabilioni katika mechi za kimataifa
Hakuna sehemu fedha zinatumika nyingi katika safari za timu za kimataifa ndio maana anajitoa simba kimyakimya
Washabiki kazi yao ni kushangilia pale timu inavyofanya vizuri na kulalamika pale inaposhindwa bila kufikiri kuna watu wanafilisika.
Hili lililotokea kwa biashara lazima lije kuzikuta simba na yanga with exception of Azam
subirini simba anawapambania mwakani tutwaingiza tena in the mean time endeleeni kuwahonga wahuni wa mikoani wawavunje mastaa wa 15 kw aubora africaKama biashara wameshindwa hiyo nafasi si watupati sisi Wananchi tukakiwashe
Ukisema hivyo utaonekana wewe ni mwananchi,humpendi karia.TFF AND IT'S LEADERS SHOULD RESIGN URGENTLY
narudia tena daudi bashite mtukane yoooteeeeeeeee ila pesa aliyotoa kw akmc tulishuudia soka safi bila kung fu, dodoma na musoma (kw amlezi aliyeshindwa kusafirisha team) tuliona kung fu
Kama kweli wewe unajali na na uan utu wa kiunamichezo kaongee na kina yondani wacheze mpira next match siyo kung fu kama walivyoagizwa..case closed sikujibu tena sababu una kichwa kigumu sanhuo
Leta marking scheme tuone kama n nje ya madaNje ya mada.
Kwa nini isiwe azam. Wata wanaweka hela baada ya muda timu ijiendeshe.Mo alisikika mara kwa mara kupoteza mabilioni katika mechi za kimataifa
Hakuna sehemu fedha zinatumika nyingi katika safari za timu za kimataifa ndio maana anajitoa simba kimyakimya
Washabiki kazi yao ni kushangilia pale timu inavyofanya vizuri na kulalamika pale inaposhindwa bila kufikiri kuna watu wanafilisika.
Hili lililotokea kwa biashara lazima lije kuzikuta simba na yanga with exception of Azam
Kisa?TFF AND IT'S LEADERS SHOULD RESIGN URGENTLY
Kwa sababu ninaupenda sana mpira wa TANZANIA basi huwa nachukizwa sana na wanaowashambulia matajiri wetu akina GSM na MO DEWJI.....mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara
sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa baada ya kuwasubiri wanajeshi wa mpakani kwa dakika 15 referee atatoa ushindi kwa waarabu
Kifuatacho ni rungu la CAf ..ujinga kabisa what a shame..jasho la simba linapotea bure .....NAFASI NNE ZINAHANGAIKIWA NA SIMBA KWA MARA YA PILI SASA ILA WAPUUZI WANAZIPOTEZA KIJINGA WENGINE WANAPITISHIA PESA MLANGO WA NYUMA KUVIPA VITEAM VIDUCHU ILI WACHEZAJI WA SIMBA WAUMIZWE WASIWIEZE KUCHEZA MICHEZO YA KIMATAIFA...
MBAYA ZAIDI WANAOHUSIKA NA UJINGA HUU HATA KUSAIDIA NAULI YA TEAM WANAKAUSHA KIMYAA KAMA SIYO WAO....
SIMBA WARUHUSIWE KUCHAGUA TEAM ZA KWENDA NAO MWAKANI...HUU UJINGA UMETOSHA SASA MAAN KUNA WAPUUZI WENGINE HATA TUKIWABEBA WAO ROUND ZA AWALI TU OUT ILA MIDOMO MIREFU KAMA CHUCHUNGE
View attachment 1984342
Umbwa maza wakoInasikitisha sana yaani leo hii ati Mwijaku ndo anategemewa na nyinyi Makolo FC leo hii[emoji16][emoji16][emoji16]..KUSHNEYYY umbwa nyie
...Yani hapo uongozi wote wa hiyo timu piga chini. Kweli wameshindwa kukopa na kurejesha kidogokidogo hata kwa kukatwa kwenye mapato yao ya mechi?Hii ishu ya Biashara inaumiza ,wameshaonyesha uwezo wa kupita kuelekea hatua inayofuata .
Hata kama wamewaandikia barua CAF Mechi isogezwe mbele lakini inaonyesha hata barua ya maombi wamechelewa ,karibia week na siku kadhaa kweli wanashindwa hata kuomba serikali au kukopa?au hata kuitisha harambe yakuwachanga wanashindwa kufanya?
Wamezembea sana maana hata michuano ilipoanza passport walichelewa kuzipata
Kazi ya TFF ni kutoa Tuzo kwa watu wasiotakiwa kama Majaliwa , huku timu zinazoifanya iendelee kuwepo zikipuuzwa !mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara
sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa baada ya kuwasubiri wanajeshi wa mpakani kwa dakika 15 referee atatoa ushindi kwa waarabu
Kifuatacho ni rungu la CAf ..ujinga kabisa what a shame..jasho la simba linapotea bure .....NAFASI NNE ZINAHANGAIKIWA NA SIMBA KWA MARA YA PILI SASA ILA WAPUUZI WANAZIPOTEZA KIJINGA WENGINE WANAPITISHIA PESA MLANGO WA NYUMA KUVIPA VITEAM VIDUCHU ILI WACHEZAJI WA SIMBA WAUMIZWE WASIWIEZE KUCHEZA MICHEZO YA KIMATAIFA...
MBAYA ZAIDI WANAOHUSIKA NA UJINGA HUU HATA KUSAIDIA NAULI YA TEAM WANAKAUSHA KIMYAA KAMA SIYO WAO....
SIMBA WARUHUSIWE KUCHAGUA TEAM ZA KWENDA NAO MWAKANI...HUU UJINGA UMETOSHA SASA MAAN KUNA WAPUUZI WENGINE HATA TUKIWABEBA WAO ROUND ZA AWALI TU OUT ILA MIDOMO MIREFU KAMA CHUCHUNGE
View attachment 1984342
Simba wamekuwa watoto wa kike, msimu uliopita walilalamika eti Prisons inawachezea rafu, msimu huu game zimekuwa ngumu wanailaumu Yanga. Hawa waachane na soka wahamie kwenye unenguaji ndiko watamudu vizuri kwa sasa.Unafurahia kushika
Yule asukile alisema yanga wametoa mkwanja na wao wamekataaa
Wanacheza rafu sana ile mechi (hatukuwahi lalamika et wachezaji wetu wanavunjwa miguu)
Na ile mechi tuliwapiga licha ya kucheza rafu mwanzo mwisho
NB naomba ushahidi wa M15 kutoka gsm Ili wachezaji wenu wavunjwe