Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

Kama biashara wameshindwa hiyo nafasi si watupati sisi Wananchi tukakiwashe
 
Mwijaku sio saizi ya Bugatti,Mwijaku levo zake Baba levo,Aristote,juma lokole na mbuzi zingine huko...Manara is the next,mashabiki wa Simba wenye akili washaanza kumkataa Mwijaku we unamtetea sijui sijui ubwabwa mwenzie.
unaongelea ubwabwa? unamjaua mzee tozi wewe??sasa siyo mwijaku tu ,gigy money na dr kumbuka pia wanaingia week hii
 
Mo alisikika mara kwa mara kupoteza mabilioni katika mechi za kimataifa

Hakuna sehemu fedha zinatumika nyingi katika safari za timu za kimataifa ndio maana anajitoa simba kimyakimya

Washabiki kazi yao ni kushangilia pale timu inavyofanya vizuri na kulalamika pale inaposhindwa bila kufikiri kuna watu wanafilisika.

Hili lililotokea kwa biashara lazima lije kuzikuta simba na yanga with exception of Azam
usifananishe simba na wajinga wasiojua raha ya kula hela za CAF za makundi na robo fainali
 
Kama biashara wameshindwa hiyo nafasi si watupati sisi Wananchi tukakiwashe
subirini simba anawapambania mwakani tutwaingiza tena in the mean time endeleeni kuwahonga wahuni wa mikoani wawavunje mastaa wa 15 kw aubora africa
 
narudia tena daudi bashite mtukane yoooteeeeeeeee ila pesa aliyotoa kw akmc tulishuudia soka safi bila kung fu, dodoma na musoma (kw amlezi aliyeshindwa kusafirisha team) tuliona kung fu
Kama kweli wewe unajali na na uan utu wa kiunamichezo kaongee na kina yondani wacheze mpira next match siyo kung fu kama walivyoagizwa..case closed sikujibu tena sababu una kichwa kigumu sanhuo

Nje ya mada.
Leta marking scheme tuone kama n nje ya mada
 
IMG-20211023-WA0008.jpg
 
Yan tuna wachezaj wanaoenda wanabadilika mpira wa miguuu nao unabadilika ila bado tuna viongoz uchwara Sana yan ET utetezi wa kijinga ET tumekosa kibali cha anga kweliii yan Kwan lazima wapite anga Hilo Hilo tu
 
Mo alisikika mara kwa mara kupoteza mabilioni katika mechi za kimataifa

Hakuna sehemu fedha zinatumika nyingi katika safari za timu za kimataifa ndio maana anajitoa simba kimyakimya

Washabiki kazi yao ni kushangilia pale timu inavyofanya vizuri na kulalamika pale inaposhindwa bila kufikiri kuna watu wanafilisika.

Hili lililotokea kwa biashara lazima lije kuzikuta simba na yanga with exception of Azam
Kwa nini isiwe azam. Wata wanaweka hela baada ya muda timu ijiendeshe.

Simba na yanga haziwezi kushindwa..zina ukwasi wa kutosha. Hata kama game zingekuwa zinapigwa amerika kusini
 
Twiga stars nao habari zao vipi jamani usikute yule dada wa Sevilla kawapiga tena na kitu chenye ncha kali?
 
Bado tuna Safari ndefu sana katika michezo hapa nchini,mafanikio ya Simba club bingwa Africa, yasitufanye tuone tumekuwa wakubwa bado sana soka letu bado liko primitive sana.
Timu nyingi za Tanzania ni kama magenge ya wauza kahawa,timu hazina plan wala vision,ukianzia viwanja tunavyotumia kucheza mpira hii inaonyesha jinsi gani ambavyo tunavyoendesha mambo yetu.
Uku ndio kuna timu zina miaka zaidi ya themanini hazina hata uwanja wa kupigia danadana na bado utasikia atutaki nembo ya mdhamini kwakuwa ina rangi ambazo hazipo kwenye nembo zetu!!ngozi nyeusi samtime tuna laana furani
 
 
mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara

sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa baada ya kuwasubiri wanajeshi wa mpakani kwa dakika 15 referee atatoa ushindi kwa waarabu

Kifuatacho ni rungu la CAf ..ujinga kabisa what a shame..jasho la simba linapotea bure .....NAFASI NNE ZINAHANGAIKIWA NA SIMBA KWA MARA YA PILI SASA ILA WAPUUZI WANAZIPOTEZA KIJINGA WENGINE WANAPITISHIA PESA MLANGO WA NYUMA KUVIPA VITEAM VIDUCHU ILI WACHEZAJI WA SIMBA WAUMIZWE WASIWIEZE KUCHEZA MICHEZO YA KIMATAIFA...

MBAYA ZAIDI WANAOHUSIKA NA UJINGA HUU HATA KUSAIDIA NAULI YA TEAM WANAKAUSHA KIMYAA KAMA SIYO WAO....
SIMBA WARUHUSIWE KUCHAGUA TEAM ZA KWENDA NAO MWAKANI...HUU UJINGA UMETOSHA SASA MAAN KUNA WAPUUZI WENGINE HATA TUKIWABEBA WAO ROUND ZA AWALI TU OUT ILA MIDOMO MIREFU KAMA CHUCHUNGE



View attachment 1984342
Kwa sababu ninaupenda sana mpira wa TANZANIA basi huwa nachukizwa sana na wanaowashambulia matajiri wetu akina GSM na MO DEWJI.....

Tuendelee tu kuifurahia YANGA na SIMBA 💪
 
Mie nadhani hao CAF wawafungie TFF, wamekaa pale wanafuta vitambi tu sijui wana kazi gani, biashara haikuwa inawakilisha mkoa wa Mara ilikuwa inawakilisha nchi ya Tanzania, pamoja na jitihada zao kama kabla bado TFF walitakiwa kuwaongoza na kusimamia baadhi ya mambo, lkn wapo tu sijui wana kazi gani hapo karume, shwain zao
 
Hii ishu ya Biashara inaumiza ,wameshaonyesha uwezo wa kupita kuelekea hatua inayofuata .

Hata kama wamewaandikia barua CAF Mechi isogezwe mbele lakini inaonyesha hata barua ya maombi wamechelewa ,karibia week na siku kadhaa kweli wanashindwa hata kuomba serikali au kukopa?au hata kuitisha harambe yakuwachanga wanashindwa kufanya?

Wamezembea sana maana hata michuano ilipoanza passport walichelewa kuzipata
...Yani hapo uongozi wote wa hiyo timu piga chini. Kweli wameshindwa kukopa na kurejesha kidogokidogo hata kwa kukatwa kwenye mapato yao ya mechi?
Viongozi wamezamisha boti kwa kweli
 
mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara

sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa baada ya kuwasubiri wanajeshi wa mpakani kwa dakika 15 referee atatoa ushindi kwa waarabu

Kifuatacho ni rungu la CAf ..ujinga kabisa what a shame..jasho la simba linapotea bure .....NAFASI NNE ZINAHANGAIKIWA NA SIMBA KWA MARA YA PILI SASA ILA WAPUUZI WANAZIPOTEZA KIJINGA WENGINE WANAPITISHIA PESA MLANGO WA NYUMA KUVIPA VITEAM VIDUCHU ILI WACHEZAJI WA SIMBA WAUMIZWE WASIWIEZE KUCHEZA MICHEZO YA KIMATAIFA...

MBAYA ZAIDI WANAOHUSIKA NA UJINGA HUU HATA KUSAIDIA NAULI YA TEAM WANAKAUSHA KIMYAA KAMA SIYO WAO....
SIMBA WARUHUSIWE KUCHAGUA TEAM ZA KWENDA NAO MWAKANI...HUU UJINGA UMETOSHA SASA MAAN KUNA WAPUUZI WENGINE HATA TUKIWABEBA WAO ROUND ZA AWALI TU OUT ILA MIDOMO MIREFU KAMA CHUCHUNGE



View attachment 1984342
Kazi ya TFF ni kutoa Tuzo kwa watu wasiotakiwa kama Majaliwa , huku timu zinazoifanya iendelee kuwepo zikipuuzwa !
 
Unafurahia kushika

Yule asukile alisema yanga wametoa mkwanja na wao wamekataaa

Wanacheza rafu sana ile mechi (hatukuwahi lalamika et wachezaji wetu wanavunjwa miguu)

Na ile mechi tuliwapiga licha ya kucheza rafu mwanzo mwisho

NB naomba ushahidi wa M15 kutoka gsm Ili wachezaji wenu wavunjwe
Simba wamekuwa watoto wa kike, msimu uliopita walilalamika eti Prisons inawachezea rafu, msimu huu game zimekuwa ngumu wanailaumu Yanga. Hawa waachane na soka wahamie kwenye unenguaji ndiko watamudu vizuri kwa sasa.
 
Back
Top Bottom