Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Mkuu,
Nakushauri yafuatayo;
Kama una mtaji unaofika 20m, na kuendelea, fungua biashara ya mgahawa wa kisasa, tengeneza chakula kizuri, customer sevice mzuri na usimamizi mzuri. Au kawekeze kwenye ufugaji wa kisasa wa Ng'ombe wa maziwa au mbuzi.
Daladala kwa sasa si biashara salama.
1. Hiace na coater ziko kwenye mchakato wa kuondolewa kwenye ruti nyingi,
2. Faini za barabarani zitakula faida na mtaji
3. Gharama za uendeshaji ni kubwa mno.
4. Risk za kazi ni nyingi sana
5. Madereva watakufanya usiwe na amani katika kipindi chote ambacho unafanya hiyo biashara. Kila simu ikiita moyo utakuwa unaenda mbio.
Nakutakia mafanikio mema ndugu yangu.
Nakushauri yafuatayo;
Kama una mtaji unaofika 20m, na kuendelea, fungua biashara ya mgahawa wa kisasa, tengeneza chakula kizuri, customer sevice mzuri na usimamizi mzuri. Au kawekeze kwenye ufugaji wa kisasa wa Ng'ombe wa maziwa au mbuzi.
Daladala kwa sasa si biashara salama.
1. Hiace na coater ziko kwenye mchakato wa kuondolewa kwenye ruti nyingi,
2. Faini za barabarani zitakula faida na mtaji
3. Gharama za uendeshaji ni kubwa mno.
4. Risk za kazi ni nyingi sana
5. Madereva watakufanya usiwe na amani katika kipindi chote ambacho unafanya hiyo biashara. Kila simu ikiita moyo utakuwa unaenda mbio.
Nakutakia mafanikio mema ndugu yangu.