MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Pole sana.
Ukiingia kwenye biashara ya daladala ni lazima kwanza uwe na dakitari wa kuangalia afya yako kwa karibu sana.
Pili ukubali kugawana mapato sawa na dreva na askari.
Ukiingia kwenye biashara ya daladala ni lazima kwanza uwe na dakitari wa kuangalia afya yako kwa karibu sana.
Pili ukubali kugawana mapato sawa na dreva na askari.