Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Ni kweli sema wakati mwingine unakuta kitu hakiulizwi ila ukikileta kinapata mvuto na kinachukuliwa.mfano juice ya ukwaju azam ilikua haiuliziwi lakini baada ya kuileta inachukuliwa.mawazo ya wadau ni muhimu sana
Chukua huu ushauri mkuu.

Huwezi kuchukua assumptions za watu tu, angalia kitu gani kinauliziwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya vyoote lakini KAULI NZURI kwa wateja ni msingi. Maneno kama 'Asante', 'Karibu tena' ni madogo lakini yana maana kubwa sana kwa mteja.
 
ni kweli sema wakati mwingine unakuta kitu hakiulizwi ila ukikileta kinapata mvuto na kinachukuliwa.mfano juice ya ukwaju azam ilikua haiuliziwi lakini baada ya kuileta inachukuliwa.mawazo yawadau ni muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaandika gazeti mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ni kweli unachosema ila at least kwa kuanza sio mbaya na kingine unaweza angalia ni huduma gani ambayo wao huifuata sehemu nyingine au la haipatikani kwa ile standard inayohitajika. Ni fursa nzuri pia

Ulisema unaweka shop hivyo nikaunga mkono hoja ya kuangalia nini kinachouliziwa katika shop ili kujua ni nini wateja wanahitaji au kutaraji katika "DUKA"..
 
Hili ni wazo zuri, just ucuze kwakuwa tu wanakuja wa mwaka wa kwanza katika duka lako hkikisha hela haikupiti. Weka kila kitu. Hat kama uknunua kwa uchache lkn hakikisha kiwepo.

Nakumbuka wakat naanza nlkuw nna nia ya kuhakikisha kuwa kila kitu kipo

Yan nkienda mjini hata kama sina pesa nilichukua hata nusu, walau kiwepo!

Hiyo unawawekea imani kuwa hawatakosa kitu kwako.

Leo hii mtu akitafta kitu ambcho wengne hawana, wanamuelekeza kwangu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefungua duka, hongera sana

Ina maana tayari wateja wanakuja na kununua/kuulizia bidhaa mbalimbali

Uwe na daftari pembeni, orodhesha bidhaa zinazouliziwa na wateja wako (kila inapouliziwa weka kumbukumbu)

Baada ya mwezi utafahamu ni bidhaa gani za kuweka au kuongeza hapo dukani kwako hayolae,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok, hebu tusaidiane kufikiri hapa, umesema 90% ya wateja wako ni wanachuo right? sasa ndugu mfanyabiashara wanapokua wamefunga chuo (that's means also 90% ya mapato au mauzo yako yata drop) umejipangaje na kipindi hiko cha mpito wakati wanafunzi hawako chuo ili "ku- balance" mambo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee I am impressed with your spirit of positivism. Kiukweli watanzania wengi wetu tuna negativity sana hata kwenye masuala ya msingi. Nakupongeza sana na nitakutafuta kwa ushauri zaidi maana na miminiko mbioni kufungua biashara hii ya duka la reja reja.
 
Bro salaam na heri ya mwaka 2020. Natumai unaendelea vema na biashara ya duka na kwa sasa umeshaizoea na yenyewe imekuzoea tayari.

Vipi, tathmini inasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposema nauza let say 50,000 kwa siku. Hiyo ndiyo inakuwa faida au faida ipo ndani humo humo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…