Kama mm piaSikubaliani na Mtoa mada;
Binafsi nna biashara ya duka, na huwa nakaa dukani.
Biashara ya duka itakuboa pindi kutakapokua na mzunguko mdogo,
afu wateja hawaji na huna chochote ndani ya duka lako kurefresh mind. MF: kucheck TV,kuchat n.k
Ila kama mzunguko upo, na wateja wanapishana kila Mara mlangoni.
Unakua kama unadownload tu pesa dukani.
WALLAH UTAIPENDA SANA BIASHARA YA DUKA MAISHA YAKO YOTE.
mkuu upooBinafsi siku kukiwa kumedoda (Hamna wateja)
Hujiskia kuboeka sana na Mara nying hujikuta nmefunga kabla ya muda.
Ni hali ya kawaida ktk biashara ila INAKERA SANA.
KUDOWNLOAD tu pesa... Nimeipenda hiyo. mwiko ku UPLOAD tu pesa.😀😀Sikubaliani na Mtoa mada;
Binafsi nna biashara ya duka, na huwa nakaa dukani.
Biashara ya duka itakuboa pindi kutakapokua na mzunguko mdogo,
afu wateja hawaji na huna chochote ndani ya duka lako kurefresh mind. MF: kucheck TV,kuchat n.k
Ila kama mzunguko upo, na wateja wanapishana kila Mara mlangoni.
Unakua kama unadownload tu pesa dukani.
WALLAH UTAIPENDA SANA BIASHARA YA DUKA MAISHA YAKO YOTE.
Nipo mkuumkuu upoo
Bora poultry kuna Uhuru wa mudakwenye poultry kuna mziki mwengine huko, wa matunzo mana makuku haya ya kisasa, mmh! maybe kama utafanya na wa kienyej
sikuoni kwenye uzii wetu?Nipo mkuu
Kweli kabisa mkuuUkiona mtu anaendesha biashara ya duka rejareja(nadhani vyakula Kama mtoa mada amekusudia hivyo) kwa muda wa miaka 3 na linaendelea vizuri mpe heshima yake.
Hii biashara watu wanaweza sema ni rahisi ila ni biashara ngumu Sana inayohitaji akili maana ukicheza kidogo tu unafunga.
Wengi imewashinda kwasababu hajui njisi ya kuiendesha, kwenye mauzo atataka ale hapo hapo atachota sukari, hapo hapo atachukua sabuni ,chumvi, unga n.k kwa matumizi ya nyumbani ila haesabu , yeye anahesabu alizouza tu na tatizo linaanzia hapo.
Biashara ni wewe mwenyeweAkili zako maziwa mgando, achana na biashara ya duka sasa kawe mpiga debe ili usiwe unakaa sehemu moja.
.
Kurogwa ni unajiroga mwenyewe na hautofanikiwa kamwee. Biashara inaendeshwa na ubunifu na utayari, ingekuwa hayo unayoyaamini ni ya kweli maduka mengi ya kariakoo yasingekuwepo WEWE UMELAANIWA AKILI MPAKA MWILI