Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

Hao wanaotengeneza wana Kibali kutoka timu husika au ndo janjajanja inakua

Jezi za timu za nje kuuza bongo hazihitaji vibali.

Jezi za simba na yanga tu ndio kufoji ni msala.

Jezi za timu za ulaya ni mojawapo ya business inayotajirisha sana wakinga kariakoo.

Mfano jezi za mamelodi tu msimu huu bongo zimeuzwa zaidi ya pcs laki moja. Na hapo mamelodi hawajapata hata senti moja

Jiulize mkinga alieziiingiza nchini kapiga hela bei gani ?
 
Habari wanajamvi..

Nimejaribu kutembelea miji, manispaa, na majiji mbalimbali kwakweli kuna utitiri mkubwa sana kwa sasa wa maduka yanayouza jezi mbalimbali za timu za mpira wa miguu.

Kwa utafiti wangu mdogo nmeona jezi hzi znapatikana kwa bei tofauti kutokana na eneo ila zina range kwnye 13k-25k kwny maeneo mengi na jezi zinazouzwa sanaa ni za juu(t-shirt).

Ninachojiuliza ni kitu gani kimefanya biashara hii kukua kwa kasi kwenye miaka ya karibuni na ni wapi ambapo jezi hzi zinapotengenezwa na Je wahusika(timu za mpira wa miguu) wananufaika vipi na biashara hii.?
Jezi za Yanga zinasambazwa na GSM possibly zitakuwa zinatengenezwa China maana GSM wana base China.

Bei halisi jezi za mwaka huu ni sh 35,000/= bei ushuka kadiri muda unavyokwenda kabla ya uzinduzi wa jezi.

Yanga inamkataba na GSM ndio wanazalisha jezi na kuziuza na Yanga inalipwa asilimia zake na GSM.
 
Jezi za timu za nje kuuza bongo hazihitaji vibali.

Jezi za simba na yanga tu ndio kufoji ni msala.

Jezi za timu za ulaya ni mojawapo ya business inayotajirisha sana wakinga kariakoo.

Mfano jezi za mamelodi tu msimu huu bongo zimeuzwa zaidi ya pcs laki moja. Na hapo mamelodi hawajapata hata senti moja

Jiulize mkinga alieziiingiza nchini kapiga hela bei gani ?
Yaaa ni kweli kwa sasa Simba na Yanga ni ngumu kupata jezi fake japo kuna sehemu mikoani naziona za bei ndogo 13-20k ambayo siyo bei halisi iliyopangwa na hzo timu
 
Jezi za Yanga zinasambazwa na GSM possibly zitakuwa zinatengenezwa China maana GSM wana base China.

Bei halisi jezi za mwaka huu ni sh 35,000/= bei ushuka kadiri muda unavyokwenda kabla ya uzinduzi wa jezi.

Yanga inamkataba na GSM ndio wanazalisha jezi na kuziuza na Yanga inalipwa asilimia zake na GSM.
Anhaa vp kwa upande wa watani zao Simba.??
 
Hicho kikundi cha wahuni zile jezi ni bango la matangazo ya Mo enenegy.

Kuna muda walikuwa na mkataba na Fred Vunja bei wakamletea fitna sasa hivi kazi wamempa Sunderland.
Hahahaa kwahyo pale vp simba km club inanufaikq vp na mauzo km wenzao yanga
 
Yaaa ni kweli kwa sasa Simba na Yanga ni ngumu kupata jezi fake japo kuna sehemu mikoani naziona za bei ndogo 13-20k ambayo siyo bei halisi iliyopangwa na hzo timu
hio jezi mpk inafika bongo bei yake haizidi 10k,.....
majamaa yanapiga sana pesa!

hizo za timu za ulaya na zenyewe bei haizidi humo, 10k
 
Em zioneshe hizo dark blue, isijekua ndo nyeusi.
IMG-20240216-WA0025.jpg
 
hio jezi mpk inafika bongo bei yake haizidi 10k,.....
majamaa yanapiga sana pesa!

hizo za timu za ulaya na zenyewe bei haizidi humo, 10k
Daahh aisee nomaa ndo tunakuja kuuziwa 35k syo poaa naskia Yanga kweny jezi moja wanaambulia km Tsh 3500 tu km share yao baada ya mauzo
 
Back
Top Bottom