cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Mbona sijawahi kuziona huku uraiani, hii naitakaa niwe nayo.
Ngoja niitafute had niipate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
ArsenalTimu ambazo Jezi zake zinauzika sana kwa sasa:-
1.Simba
2.Yanga
3.Wolves(Astropay ya Njano sanasana)
4.Al-Nassr
5.Mamelodi sundown
6.Real Madrid
7 Inter miami
8.Azam(Nyeupe na ile ya Njano)
9.Zanzibar Heroes
10.Manchester United(Team Viewer) etc
Unaeza ukaongeza hapo chini timu zngne zilizosahaulika..
Huo uzi ni hatariii japo kwa kitaani ni adimu sanaaHizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Mbona sijawahi kuziona huku uraiani, hii naitakaa niwe nayo.
Ngoja niitafute had niipate.
Yes hyo nyongeza ni sahihi ila Inter Miami bdo hajamfikia Astropay kitaani kwakwelArsenal
Newcastle
Everton
Ajax
Uzi unaovaliwa sana kwa sasa ni wa inter miami.
Mbagala zipo hadi za 5000Habari wanajamvi..
Nimejaribu kutembelea miji, manispaa, na majiji mbalimbali kwakweli kuna utitiri mkubwa sana kwa sasa wa maduka yanayouza jezi mbalimbali za timu za mpira wa miguu.
Kwa utafiti wangu mdogo nmeona jezi hzi znapatikana kwa bei tofauti kutokana na eneo ila zina range kwnye 13k-25k kwny maeneo mengi na jezi zinazouzwa sanaa ni za juu(t-shirt).
Ninachojiuliza ni kitu gani kimefanya biashara hii kukua kwa kasi kwenye miaka ya karibuni na ni wapi ambapo jezi hzi zinapotengenezwa na Je wahusika(timu za mpira wa miguu) wananufaika vipi na biashara hii.?
Astro kauza ila intermiami kwa muda mfupi zimevalika sana.Yes hyo nyongeza ni sahihi ila Inter Miami bdo hajamfikia Astropay kitaani kwakwel
Duuuhh hzo si ztakua zile mbovu kabsa znazopauka na kuchanika kirahisiMbagala zipo hadi za 5000
😁😁😁 utakuta mteja wa Mbagala akija kwako ukimwambia hezi 12k anakujibu kuwa anazipata hata kwa 5k. Ndo unakuwa mwanzo wa mteja kuupoteza ufalme wake na kuwa kenge tu.Mbagala zipo hadi za 5000
Huwa zipo... kkoo OG ni 17k jumla na copy 8kHizi ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Mbona sijawahi kuziona huku uraiani, hii naitakaa niwe nayo.
Ngoja niitafute had niipate.
Ndo nimeshangaa hapa, maana uraiani sijawahi iona hata.Huo uzi ni hatariii japo kwa kitaani ni adimu sanaa
Ntaenda weekend kuitafuta, had niipatee.Huwa zipo... kkoo OG ni 17k jumla na copy 8k
Nitakupa namba ya muuzajiNtaenda weekend kuitafuta, had niipatee.
Fanya kunipa, tena aniwekee OG.Nitakupa namba ya muuzaji
0768857588Fanya kunipa, tena aniwekee OG.
Ahsante sana!! [emoji120][emoji120]0768857588
Anauza jumla pia?0768857588
Anauza jumla na rejareja. Mcheki. Copy tsh 8kAnauza jumla pia?
Na kwa bei gani mkuu
[emoji23]Jezi zinatengenezwa China na cheap low quality synthetic fiber Polyester (ni jamii ya plastic toka kwenye mafuta ghafi/crude oil)
Ulihongwa na wewe ukahonga hiyo inaitwa home win either halfNo 3 ndo imekua vazi LA Taifa, kila mtu ako nayoo.
Hata mie nilinunuliwa, ila nlimpa mtu mwngne.