Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
- #61
Na zote hzo zina quality sawa or.?Jezi zinauzwa kkoo buku nane mchina anauza buku mbili jero bei ya jumla, usishangae ukienda mbagala ukakuta inauzwa buku tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zote hzo zina quality sawa or.?Jezi zinauzwa kkoo buku nane mchina anauza buku mbili jero bei ya jumla, usishangae ukienda mbagala ukakuta inauzwa buku tano
Ile Jezi kalii unaeza ukaivalia na Jeans yyte na raba kalii ukapendeza ila naona kuna watu wameanza kwnda nazo hadi Kanisani sasa..[emoji18]Hivi inapendewa nini hiyo jezi
Hahahahaha..ushasema kali acha waende nayo tuIle Jezi kalii unaeza ukaivalia na Jeans yyte na raba kalii ukapendeza ila naona kuna watu wameanza kwnda nazo hadi Kanisani sasa..[emoji18]
[emoji23]kwakweli hata ikiwa sare ya kwaya hamna shda kabisaaHahahahaha..ushasema kali acha waende nayo tu
Tena kwaya watapendeza sana[emoji23]kwakweli hata ikiwa sare ya kwaya hamna shda kabisaa
Hzo ni zile wanamwaga kkoo jioni unakuta wanaitilia buku nane, ambazo ndo watu tunavaa huku kitaa, sijajua kuhusu qualityNa zote hzo zina quality sawa or.?
Basi zitakua ndo hzohzo tu km za huku mikoani tunazouziwa 12,13kHzo ni zile wanamwaga kkoo jioni unakuta wanaitilia buku nane, ambazo ndo watu tunavaa huku kitaa, sijajua kuhusu quality
Mikoani ni bei hiyo kweli, nilienda dodoma kipindi Fulani nikakuta wanauza 15 haipungui nikiangalia ninazo kwenye begi mbili nimeokota kwa elf8 kkooBasi zitakua ndo hzohzo tu km za huku mikoani tunazouziwa 12,13k
Yaaa bei znategemea na mkoa ila hata hvo Dom naona kwny mambo ya nguo bei zimechangamka kdogo hata hvoMikoani ni bei hiyo kweli, nilienda dodoma kipindi Fulani nikakuta wanauza 15 haipungui nikiangalia ninazo kwenye begi mbili nimeokota kwa elf8 kkoo
Jezi za timu za nje kuuza bongo hazihitaji vibali.
Jezi za simba na yanga tu ndio kufoji ni msala.
Jezi za timu za ulaya ni mojawapo ya business inayotajirisha sana wakinga kariakoo.
Mfano jezi za mamelodi tu msimu huu bongo zimeuzwa zaidi ya pcs laki moja. Na hapo mamelodi hawajapata hata senti moja
Jiulize mkinga alieziiingiza nchini kapiga hela bei gani ?
Hyo 150k bei ya wapi.? Halaf mbona sjawahi ona hzo jezi kitaa mbonakit mpya ya Argentina COPA AMERICA
2024 namba 11 ya di maria, 150K
Mafuta yanatoa bidhaa zaidi ya elfu moja mpaka elfu tano.Sikuwahi kujua km polyester znatokana na mafuta ghafi aisee
Ndo mana wenzetu waarabu wanatoboa sana aisee,, hv sisi Tz tunanunua mafuta ghafi(crude oil) au tunanunua product za mwsho tu km hz petrol,diesel etcMafuta yanatoa bidhaa zaidi ya elfu moja mpaka elfu tano.
Umejuajee? Nilihongwa na boss kubwa, mie nkamuhonga kiben10 wangu.Ulihongwa na wewe ukahonga hiyo inaitwa home win either half
Hiyo data zaidi ya laki moja umeitoa wapi?
Kwa timu za Nje ya Tanzania namba 1 niTimu ambazo Jezi zake zinauzika sana kwa sasa:-
1.Simba
2.Yanga
3.Wolves(Astropay ya Njano sanasana)
4.Al-Nassr
5.Mamelodi sundown
6.Real Madrid
7 Inter miami
8.Azam(Nyeupe na ile ya Njano)
9.Zanzibar Heroes
10.Manchester United(Team Viewer) etc
Unaeza ukaongeza hapo chini timu zngne zilizosahaulika..
Hii mbona km umeongea kishabiki tofauti na uhalisia kitaani, hyo ya ManU inauzika sana ila si number moja..Kwa timu za Nje ya Tanzania namba 1 ni
1: Manchester United ( Home kit), Man U haina mpinzani kabisa.
Siyo ushabiki...Hii mbona km umeongea kishabiki tofauti na uhalisia kitaani, hyo ya ManU inauzika sana ila si number moja..
Acha uongo mzee jezi namba Moja ni ya wolves unaongelea ushabiki hapa yaani hiyo jezi ya man u ilivyo mbovu nani anaunue maana timu bovu na jezi mbovuSiyo ushabiki...
uliza wauza jezi wa Jumla K.Koo...
Jezi inayo uza sana kuliko zote ni Man U red.
Hujui unachokiongea.....Acha uongo mzee jezi namba Moja ni ya wolves unaongelea ushabiki hapa yaani hiyo jezi ya man u ilivyo mbovu nani anaunue maana timu bovu na jezi mbovu