Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

Hzo ni zile wanamwaga kkoo jioni unakuta wanaitilia buku nane, ambazo ndo watu tunavaa huku kitaa, sijajua kuhusu quality
Basi zitakua ndo hzohzo tu km za huku mikoani tunazouziwa 12,13k
 
Basi zitakua ndo hzohzo tu km za huku mikoani tunazouziwa 12,13k
Mikoani ni bei hiyo kweli, nilienda dodoma kipindi Fulani nikakuta wanauza 15 haipungui nikiangalia ninazo kwenye begi mbili nimeokota kwa elf8 kkoo
 
Mikoani ni bei hiyo kweli, nilienda dodoma kipindi Fulani nikakuta wanauza 15 haipungui nikiangalia ninazo kwenye begi mbili nimeokota kwa elf8 kkoo
Yaaa bei znategemea na mkoa ila hata hvo Dom naona kwny mambo ya nguo bei zimechangamka kdogo hata hvo
 
Hiyo data zaidi ya laki moja umeitoa wapi?
 
Kwa timu za Nje ya Tanzania namba 1 ni
1: Manchester United ( Home kit), Man U haina mpinzani kabisa.
 
Siyo ushabiki...
uliza wauza jezi wa Jumla K.Koo...
Jezi inayo uza sana kuliko zote ni Man U red.
Acha uongo mzee jezi namba Moja ni ya wolves unaongelea ushabiki hapa yaani hiyo jezi ya man u ilivyo mbovu nani anaunue maana timu bovu na jezi mbovu
 
Acha uongo mzee jezi namba Moja ni ya wolves unaongelea ushabiki hapa yaani hiyo jezi ya man u ilivyo mbovu nani anaunue maana timu bovu na jezi mbovu
Hujui unachokiongea.....
Mimi siangalii mtaani nani amevaa nini..
Naangalia mahitaji ya jezi kwa ujumla....

Jezi ya Man U ndiyo imeuza sana na tumeigiza maranyingi China kwa idadi kubwa kuliko hizo Wolve....

Wolve haingii hata kwa Madrid Black....
Acha ubishi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…